Hivi inakuaje hadi uache biashara kwa ajili ya mwanamke?

magode

JF-Expert Member
Oct 2, 2014
2,201
3,322
Wanajamvi, salaam;

Kweli binadamu tumeumbwa tofauti, kuna vitu mimi binafsi huwa sivielewi kabisa! Kuna dereva mmoja wa daladala kaja hapa kashuka kwenye gari kisha akamkabidhi funguo deiwaka.

Kaja hapa ofisini kwangu, akawa anapiga simu, walivyomalizana jamaa akatuma hapa kwangu Tsh.3500/=. Baada ya hapo ndo akaanza kunieleza eti kuna mdada muda huo anataka akajifungie nae guest. Mdada mwenyewe mke wa mtu. Aisee nilijua anatania, kwasababu muda huo ilikuwa saa 3 asubuhi.

Lakini jamaa akanihakikishia anachosema na akadai anaenda kuchukua kabisa room kisha aje hapahapa kumsubiri! Baada ya kama dakika 45 kweli ameshuka mdada hapa na bodaboda akaanza kupiga simu muda mfupi baadae dereva kaja kumchukua.

Kwakweli nimejiuliza sana, hivi hizi tofauti tulizonazo ndo hizi kweli? Yaani mtu anaacha kazi,anaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu,anapoteza muda na fedha.

Kuna wakati niliwahi kufanya biashara ya guest huko kigamboni mwaka 2007,mtu anakuja kutafuta chumba cha muda na dem asubuhi saa 2! Jamani hizi genye tu au labda me ndo nipo tofauti na wenzangu? Binafsi hata huo ujasiri wa kuulizia chumba guest asubuhi siwezi kuwa nao na sitakuwa nao.
 
bro wewe ukokama mimi huwa siwezikuacha shuguli kwa ajili ya nyapu...bora nipotezee tu....yani tuna utofauti....
 
Binadamu wana akili tofauti sanaaa...
Hizi tofauti zingine zinashangaza kwakweli. Mwanamke nae tena ameolewa anaacha familia yake saa 3 asubuhi kufuata mchepuko..!! Hii nchi ni halali tu hata kuwa hivi ilivyo km watu wenyewe ndo hawa..
Na tena mke wa mtu huyo anachezea sharubu za simba.
Jamaa hakuwa hata na chembe ya wonga. Tatizo la hapa mjini mwanamke akitoka tu kutoka sehemu moja kwenda nyingine huko ni mgeni kabisa! Labda Mungu tu aingilie kati kumkamata. Mfano dem atoke mbagala apelekwe mabibo,huko ni mgeni kabisa tofauti na vijijini ambako watu wanajuana hadi vijiji vitano vinavyofuata.
 
Mimi papuchi ikishaanza kunipotezea Muda wangu na Pesa.. hata siwezi kuhangaika nayo kabisaaa.... Papuchi za kiwizi wizi siziwezi,,, papuchi unapewa asubuh saa 3!!! katikati ya week,,, muda wa kusaka noti...
 
Wanajamvi, salaam;

Kweli binadamu tumeumbwa tofauti, kuna vitu mimi binafsi huwa sivielewi kabisa! Kuna dereva mmoja wa daladala kaja hapa kashuka kwenye gari kisha akamkabidhi funguo deiwaka.

Kaja hapa ofisini kwangu, akawa anapiga simu, walivyomalizana jamaa akatuma hapa kwangu Tsh.3500/=. Baada ya hapo ndo akaanza kunieleza eti kuna mdada muda huo anataka akajifungie nae guest. Mdada mwenyewe mke wa mtu. Aisee nilijua anatania, kwasababu muda huo ilikuwa saa 3 asubuhi.

Lakini jamaa akanihakikishia anachosema na akadai anaenda kuchukua kabisa room kisha aje hapahapa kumsubiri! Baada ya kama dakika 45 kweli ameshuka mdada hapa na bodaboda akaanza kupiga simu muda mfupi baadae dereva kaja kumchukua.

Kwakweli nimejiuliza sana, hivi hizi tofauti tulizonazo ndo hizi kweli? Yaani mtu anaacha kazi,anaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu,anapoteza muda na fedha.

Kuna wakati niliwahi kufanya biashara ya guest huko kigamboni mwaka 2007,mtu anakuja kutafuta chumba cha muda na dem asubuhi saa 2! Jamani hizi genye tu au labda me ndo nipo tofauti na wenzangu? Binafsi hata huo ujasiri wa kuulizia chumba guest asubuhi siwezi kuwa nao na sitakuwa nao.
"Labda hiyo Papuchi ya huyo dada ina dhahabu"
 
Wanajamvi, salaam;

Kweli binadamu tumeumbwa tofauti, kuna vitu mimi binafsi huwa sivielewi kabisa! Kuna dereva mmoja wa daladala kaja hapa kashuka kwenye gari kisha akamkabidhi funguo deiwaka.

Kaja hapa ofisini kwangu, akawa anapiga simu, walivyomalizana jamaa akatuma hapa kwangu Tsh.3500/=. Baada ya hapo ndo akaanza kunieleza eti kuna mdada muda huo anataka akajifungie nae guest. Mdada mwenyewe mke wa mtu. Aisee nilijua anatania, kwasababu muda huo ilikuwa saa 3 asubuhi.

Lakini jamaa akanihakikishia anachosema na akadai anaenda kuchukua kabisa room kisha aje hapahapa kumsubiri! Baada ya kama dakika 45 kweli ameshuka mdada hapa na bodaboda akaanza kupiga simu muda mfupi baadae dereva kaja kumchukua.

Kwakweli nimejiuliza sana, hivi hizi tofauti tulizonazo ndo hizi kweli? Yaani mtu anaacha kazi,anaenda kufanya uzinzi na mke wa mtu,anapoteza muda na fedha.

Kuna wakati niliwahi kufanya biashara ya guest huko kigamboni mwaka 2007,mtu anakuja kutafuta chumba cha muda na dem asubuhi saa 2! Jamani hizi genye tu au labda me ndo nipo tofauti na wenzangu? Binafsi hata huo ujasiri wa kuulizia chumba guest asubuhi siwezi kuwa nao na sitakuwa nao.
hamna cha ajabu ni mambo ya kawaida,,kwakuwa ni mke wa mtu hvyo muda mzuri ni asubuhi. mimi nilishawahi kuona mtu anakula demu wa mtu wakati wa jioni akienda mazoezini..demu hakai na jamaa yake,,hivyo muda mwingi wanakua wanawasiliana na simu. khy muda wa jion demu akitoka kazini , anampgia jamaa yake kuwa anaenda evening walk..then kumbe anadanganya anaenda kukutana na mshkaji mwingine..ndo maisha ya mjini asa hv ni mwendo wa kula totoz tuu,,,,
khy huyo dereva labda itakua anamla asa hv , then baadaye akimaliza anarudi kwenye shughuli yake ya daladala..maana daladala hadi saa 5 ucku inafanya kazi
 
hamna cha ajabu ni mambo ya kawaida,,kwakuwa ni mke wa mtu hvyo muda mzuri ni asubuhi. mimi nilishawahi kuona mtu anakula demu wa mtu wakati wa jioni akienda mazoezini..demu hakai na jamaa yake,,hivyo muda mwingi wanakua wanawasiliana na simu. khy muda wa jion demu akitoka kazini , anampgia jamaa yake kuwa anaenda evening walk..then kumbe anadanganya anaenda kukutana na mshkaji mwingine..ndo maisha ya mjini asa hv ni mwendo wa kula totoz tuu,,,,
khy huyo dereva labda itakua anamla asa hv , then baadaye akimaliza anarudi kwenye shughuli yake ya daladala..maana daladala hadi saa 5 ucku inafanya kazi
ulichonacho ndo hiyo tofauti niliyoishangaa!
 
Kuna watu kutembea na wanawake wengi kwao ni ufahari sana umkute huyo dereva kijiweni akiadisia wenzake alichokifanya yaani wanamuona jamaa mjanja na anafaidi mno...Hadi wengine watamuoji asee we unawakamataje hawa watu?
 
Back
Top Bottom