Tena katikati ya mwezi wakati utaratibu walioweka Ewura ni jumatano ya Kwanza ya mwezi. Hivi sasa kuna vituo vinadai havina mafuta, janja tu wanasubiri bei mpya kesho.Nami imenishangaza hii..au taarifa ilitoka kimya kimya?
Duh kwahiyo kesho itatoka bei mpya tena minikajua ndo imetoka iyo tukutane september..naona taratibu tunarudi kwene bei zetu zile zileTena katikati ya mwezi wakati utaratibu walioweka Ewura ni jumatano ya Kwanza ya mwezi. Hivi sasa kuna vituo vinadai havina mafuta, janja tu wanasubiri bei mpya kesho.