Hivi ili wazo langu ni la kipumbafu au la kisayansi? Nisaidieni!

Pole sana mkuu hapo umesahau kazi za salivary amy lase ambayo hugeuza starch na kuivunja vunja umesahau kazi ya saliva kulaininsha chakula ili kipite kwa mfumo wa rhythimic constriction acrross an oespphagus via abdomen up to anus ... Hutaki kusikia habari za hcl kustop action ya sa salivary amylase na kuinitiate breaking of protein molecule na lipid by gastric juices pind tu chakula kinapofika tumbon .... Nakuonea huruma mkuu ... Ungejua kwamba unapokula chakula .... Au kabla ya. ... Gastic juices znakua zsha be secreted sababu yenyewe ni unconditioned reflexes as proved by pavlov ... Hata fasting juices ..... Aaah

Mkuu sory ila rudi shule mkuu

eti mimi nachekesha
 
Nahisi nikiwa makini naweza kuvumbua kitu kikubwa sana sababu ubongo wangu unafanya kazi kwa kina mno. Kuna wazo limenijia kwa nguvu sana kwamba kwa vile utumbo unaopeleka chakula unaanzia mdomoni hadi kule chini matakoni ndio sababu tukila chakula kinameng'enywa na kinaishia kuwa mavi hatimae, vipi kama nikienda hospital nikafanyiwa oparesheni ule utumbo waugeuze niwe nakula mavi afu natoa chakula kule matakoni maana utumbo utakuwa umegeuzwa ule wa matakoni umeletwa mdomoni Hivyo nikila mavi yanapitia utumbo wa mkundun ulioshonelewa kuanzia mdomoni na mmeng'enyo wa kurudishwa kuwa chakula na matunda na sio mavi tena? Nadhani nimeeeleweka wakuu.
Kuna Daktari mmoja wa India anaweza kunisaidia kunifanyia oparesheni, nataka niibadilishe Dunia iwe sustainable kwa kizazi kijacho yaani nimfute kabisa huyu bwana anajiita deni la Dunia au mashuhuri kama Tumbo tuwe tunakula mavi tu afu tunatoa vyakula na matunda kule matakoni.
Nitakuwa maarufu sana Duniani asee. nikifanikiwa ila sijui Watanzania wenzangu mnalionaje hili wazo langu?
Nyie ngojeni najua mtaniona chizi ila hivi ndio ideas zilizobadili Dunia zilianza kwa kudharauliwa.

Zingatia; Matusi na dharau sitaki...ukinitukana Mimi sikurudishii hapa nakutukana huku huku nilipo kimoyo moyo. Ah ah ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
yaan kugeuza tu njia haitoshii....inatakiwa zile process zote za kikemikali ambazo zina meng'enyaa chakulaa ziwe reversed piaa....how are u going to do that...??kwa namna yoyote utakayofanyaa lazima itahusisha complex systems ambazo haziwezi kuwekwa mwilini mwa binadamuu
 
Nahisi nikiwa makini naweza kuvumbua kitu kikubwa sana sababu ubongo wangu unafanya kazi kwa kina mno. Kuna wazo limenijia kwa nguvu sana kwamba kwa vile utumbo unaopeleka chakula unaanzia mdomoni hadi kule chini matakoni ndio sababu tukila chakula kinameng'enywa na kinaishia kuwa mavi hatimae, vipi kama nikienda hospital nikafanyiwa oparesheni ule utumbo waugeuze niwe nakula mavi afu natoa chakula kule matakoni maana utumbo utakuwa umegeuzwa ule wa matakoni umeletwa mdomoni Hivyo nikila mavi yanapitia utumbo wa mkundun ulioshonelewa kuanzia mdomoni na mmeng'enyo wa kurudishwa kuwa chakula na matunda na sio mavi tena? Nadhani nimeeeleweka wakuu.
Kuna Daktari mmoja wa India anaweza kunisaidia kunifanyia oparesheni, nataka niibadilishe Dunia iwe sustainable kwa kizazi kijacho yaani nimfute kabisa huyu bwana anajiita deni la Dunia au mashuhuri kama Tumbo tuwe tunakula mavi tu afu tunatoa vyakula na matunda kule matakoni.
Nitakuwa maarufu sana Duniani asee. nikifanikiwa ila sijui Watanzania wenzangu mnalionaje hili wazo langu?
Nyie ngojeni najua mtaniona chizi ila hivi ndio ideas zilizobadili Dunia zilianza kwa kudharauliwa.

Zingatia; Matusi na dharau sitaki...ukinitukana Mimi sikurudishii hapa nakutukana huku huku nilipo kimoyo moyo. Ah ah ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwanza kabla ya kufanyiwa hiyo operation fikiria jinsi ya kuzalisha hayo mavi unayotaka kula, au utakula mavi ya nguruwe na mbwa ambao utakuwa umewafuga??.
 
Unaonaje ukawa unakula makaratasi halafu yanatoka hela $$ ching ching. Ni sawa na wanaume tunavyo mwaga mbole kwenye papuchi halafu anatoka mtoto. Aiseee umenipata genius mwenzio nipo hapa


Ndukiiiii ‍♂️‍♂️‍♂️
Ah ah ah ah ah! Jiniasi mwenzangu wewe umewaza vizuri... Yaani unataka unye ching ching zile. Safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawazo ya kisayansi inabidi uwe umesoma na una akili, ukiwa mjinga kama mtoa mada bas utakuwa daily unaota mawazo mgando
 
Mkuu hili ni wazo la KIPUMBAVU!.
Umekula Kinyesi kilichotokana na Pilau Nyama, Kachumbari, Ndizi, Parachichi na Juice je utawezaje kuvigeuza vikatokea vyakula!?. Rudia kusoma mfumo wa Mmeng'enyo chakula toka Kooni mpaka kinatoka then rudi angalia Operation kama itakuletea majibu yako!.
 
Ikiwa hivo maana yake kutakua hakuna kunyonyana mate tutakua tunanyonyana mekundur

ntaufaidi sana m.k.u.n.d.u.r wa mtoa mada
 
Back
Top Bottom