Hivi ili wazo langu ni la kipumbafu au la kisayansi? Nisaidieni!

Dejavu

JF-Expert Member
May 31, 2018
1,568
3,424
Nahisi nikiwa makini naweza kuvumbua kitu kikubwa sana sababu ubongo wangu unafanya kazi kwa kina mno. Kuna wazo limenijia kwa nguvu sana kwamba kwa vile utumbo unaopeleka chakula unaanzia mdomoni hadi kule chini matakoni ndio sababu tukila chakula kinameng'enywa na kinaishia kuwa mavi hatimae, vipi kama nikienda hospital nikafanyiwa oparesheni ule utumbo waugeuze niwe nakula mavi afu natoa chakula kule matakoni maana utumbo utakuwa umegeuzwa ule wa matakoni umeletwa mdomoni Hivyo nikila mavi yanapitia utumbo wa mkundun ulioshonelewa kuanzia mdomoni na mmeng'enyo wa kurudishwa kuwa chakula na matunda na sio mavi tena? Nadhani nimeeeleweka wakuu.
Kuna Daktari mmoja wa India anaweza kunisaidia kunifanyia oparesheni, nataka niibadilishe Dunia iwe sustainable kwa kizazi kijacho yaani nimfute kabisa huyu bwana anajiita deni la Dunia au mashuhuri kama Tumbo tuwe tunakula mavi tu afu tunatoa vyakula na matunda kule matakoni.
Nitakuwa maarufu sana Duniani asee. nikifanikiwa ila sijui Watanzania wenzangu mnalionaje hili wazo langu?
Nyie ngojeni najua mtaniona chizi ila hivi ndio ideas zilizobadili Dunia zilianza kwa kudharauliwa.

Zingatia; Matusi na dharau sitaki...ukinitukana Mimi sikurudishii hapa nakutukana huku huku nilipo kimoyo moyo. Ah ah ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaonaje ukawa unakula makaratasi halafu yanatoka hela $$ ching ching. Ni sawa na wanaume tunavyo mwaga mbole kwenye papuchi halafu anatoka mtoto. Aiseee umenipata genius mwenzio nipo hapa😃😃


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Swali lako lina mantiki. Ni maneno ya kijinga tu kama hayo unayodharau ndio yameifanya dunia iwe hapa ilipo kimaendeleo..
Boresha sasa tafiti zako kwenye vitu vya kimaendeleo
 
Nahisi nikiwa makini naweza kuvumbua kitu kikubwa sana sababu ubongo wangu unafanya kazi kwa kina mno. Kuna wazo limenijia kwa nguvu sana kwamba kwa vile utumbo unaopeleka chakula unaanzia mdomoni hadi kule chini matakoni ndio sababu tukila chakula kinameng'enywa na kinaishia kuwa mavi hatimae, vipi kama nikienda hospital nikafanyiwa oparesheni ule utumbo waugeuze niwe nakula mavi afu natoa chakula kule matakoni maana utumbo utakuwa umegeuzwa ule wa matakoni umeletwa mdomoni Hivyo nikila mavi yanapitia utumbo wa mkundun ulioshonelewa kuanzia mdomoni na mmeng'enyo wa kurudishwa kuwa chakula na matunda na sio mavi tena? Nadhani nimeeeleweka wakuu.
Kuna Daktari mmoja wa India anaweza kunisaidia kunifanyia oparesheni, nataka niibadilishe Dunia iwe sustainable kwa kizazi kijacho yaani nimfute kabisa huyu bwana anajiita deni la Dunia au mashuhuri kama Tumbo tuwe tunakula mavi tu afu tunatoa vyakula na matunda kule matakoni.
Nitakuwa maarufu sana Duniani asee. nikifanikiwa ila sijui Watanzania wenzangu mnalionaje hili wazo langu?
Nyie ngojeni najua mtaniona chizi ila hivi ndio ideas zilizobadili Dunia zilianza kwa kudharauliwa.

Zingatia; Matusi na dharau sitaki...ukinitukana Mimi sikurudishii hapa nakutukana huku huku nilipo kimoyo moyo. Ah ah ah ah ah

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mtu makini atajua tu hata BIOLOGY ya sekondari huijui!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa hata ukifanikiwa utakuwa umegeuza tu maisha na yatakuwa magumu kweli...maana mavi yatakuwa gharama na kupatikana ni vigumu.
Maana hakuna mashamba ya mavi...


Pili ili kukujibu kisayansi zaidi ili mavi yatengenezwe kwenye utumbo kuna vitu vinaongezeka kwenye chakula kilichomezwa na vitu vinapungua..

Vinavyopungua ni nutrients zote ambazo zinakuwa absorbed kwenda kwenye mwili ...vinavyoongezeka ni kama bile a.k.a nyongo n.k

Sasa ukitaka kufanya system yote iwe reversed basi na vitu vilivyokuwa absorbrd inatakiwa virudi kwenye utumbo viunganike tena na mavi ili kiwe chakula..

Hapo utasababisha mwili utoe nutrients zote ili kuungana na mavi ili kiwe chakula..

Kutachukua siku 4 utakuwa umekufa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom