Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,635
- 218,068
Hivi karibuni Natarajia kwenda kujifukiza ili kujikinga na kirusi kipya kutoka S.Africa , ambacho taarifa zinaonyesha kwamba hakiogopi hizi chanjo tulizodungwa, Natambua kwamba Mkurugenzi wa Hospitali ya Muhimbili alitumia fedha za umma kujenga mitambo ya kimataifa ya kujifukiza.
Napenda kufahamu kama bado huduma hii muhimu ingalipo.
Natanguliza shukrani.
Napenda kufahamu kama bado huduma hii muhimu ingalipo.
Natanguliza shukrani.