Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Nimejiuliza bado sijapata jibu...kama ikaa kamati kuu na kuweka mipango ya miaka mitano na kuandaa ilani inakuwaje anatokea kiongozi na kuipinga na wana ccm wenyewe kumshangilia...
Lilianza swala la mabinti wanaopata mimba kutoruhusiwa kuendelea na masomo wana ccm wakashangilia na kumpongeza mwenyekiti wakati ilani inasema lazima wahakikishe mabinti hawa wanapata nafasi ya masomo!! Hapa nilijiuliza hivi tunapambana na ujinga au mimba!!??
Sasa limekuja swala la katiba mpya nimemsikia mwana ccm mmoja ambaye bado anatetea umuhimu wa katiba mpya JAJI WARIOBA tu. Naye asemi moja kwa moja!!! Wengine wote wamepigwa ganzi wakati ilani inasema wazi juu ya katiba mpya!!???
Hivi siku akija na makubwa zaidi ya haya tutaweza kumpinga kweli!???
Lilianza swala la mabinti wanaopata mimba kutoruhusiwa kuendelea na masomo wana ccm wakashangilia na kumpongeza mwenyekiti wakati ilani inasema lazima wahakikishe mabinti hawa wanapata nafasi ya masomo!! Hapa nilijiuliza hivi tunapambana na ujinga au mimba!!??
Sasa limekuja swala la katiba mpya nimemsikia mwana ccm mmoja ambaye bado anatetea umuhimu wa katiba mpya JAJI WARIOBA tu. Naye asemi moja kwa moja!!! Wengine wote wamepigwa ganzi wakati ilani inasema wazi juu ya katiba mpya!!???
Hivi siku akija na makubwa zaidi ya haya tutaweza kumpinga kweli!???