Hizo ndiyo ndoto za kijinga na kibwegebwege za Mbowe ambaye aliwahi kusema Magufili ni 'one term president' kwa hiyo na nyie machadema mnafuatia humohumo.Halitokei na halitatokea.Ndoto za kuja kuvuruga mradi wowote ni za alinacha yaani watanzania watakuwa wanawatazama tu wakati mnavuruga ?Acheni mawazo ya kufikirika.