Hivi ikitokea ameshindwa yupo Wa kumwambia ondoka!?

TAWA

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
3,667
1,566
Bwana Bodi heri ya sikukuu ya pasaka, natumai mmekuwa na mapumziko mema ingawa kwa sisi wasaka tonge muda huu tayari tupo kazini tunapambana na hali hii nzuri inayoletwa na uchumi Wa viwanda.

Kwenye kaa yangu hapa kibdandani kwangu, nikawaza wazo hilo linalosomeka kwenye kichwa cha habari kwamba iwapo sisi wananchi tumepiga kura, na kwa wingi tumeamua kumkataa kwa kumpigia kura mtu mwingine tofauti na yeye, na kwa Msingi huo atakuwa ameshindwa uchaguzi. Sasa yupo kweli Wa kumwambia kuwa Mzee umeshindwa uchaguzi hivyo unatakiwa umpishe aliyeshinda aingie madarakani!?

Wazo langu hili limekuja baada ya kuona jinsi watendaji Wa serikali wanavyomuogopa, wataalam wanaamua kuweka utaalam wao pembeni na kufuata amri, maprofesa wanakuwa kama watoto Wa darasa La pili. Wachamungu wameamua kuwa waongo Wa wazi wazi. Sasa nani atathubutu kufungua mdomo!?

Inawezekana wazo langu likawa na kizamani ila naomba nikosolewe kwa staha
 
Sasa unataka niwe na mahabà na nani zaidi ya Rais Wangu. Au ulitaka na mahaba na mama yako.
Uwe na kipimo cha mahaba, mbona baba kila siku anachepuka kwa sababu tu unakuwa km gogo kitandani hujui kumkatikia baba. Nakusihi mama yangu badilika umridhishe baba
 
Sayansi huwa haifanyii kazi ndoto. Magufuliiiii utabaki kuwa juu utabaki kileleni.
Kabisa atabaki kileleni kwa wale maprofesa Kama Kabudi, kwa wake Mshekhe Kama Alhadi, kwa wakuu wa mikoa Kama Makonda, kea wapinzani kama Lipumba, kwa wanyonge wa tetemeko kama wahaya wa Bukoba na wale wa korosho kama Mtwara atabaki kuwa juu
 
Huwa nawekeana dau na masela tukiwa tunaangalia television ya taifa ikiwa kingamuzi kimeisha. Dau ni wakati wa kipindi chochote kwenye tv, tunaambiana hapa lazima mtu asifiwe hahaha haipiti sekunde tayari washasifia. Kuna siku tulihesabu sifa ikabidi tusepe tukale pombe kwanza.
 
Back
Top Bottom