Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
sema unataka kuua sio tuue. Hiyo ni dhamira yako mwenyewe.
ndiyo.
Kwa sasa ni dhamira yangu, ila ni matarajio yangu kuwa itakuwa ya wengi siku za usoni.
sema unataka kuua sio tuue. Hiyo ni dhamira yako mwenyewe.
Nadhani Mkandala atakuwa amereceave order kutoka kwa mh.mzomewa!
Kwenye moja yakauliza profesa alisema madai ya wanafunzi niya msingi.! Sasa iweje leo aje kuwageuka nakuwafukuza chuo.? Maana mgomo umesaidia watoto wawakulima na wawindaji waliokuwa wamekosa mkopo kupata.! Ww unaesema maamuzi ya profesa ni sawa dhambi hii pia na ww itakutafuna.!
Hao ambao wao walikuwa wanapiga kwa uchu wa madaraka ni watoto wa mawe? usirukie mada madai yao yaliishia wapi likaja hilo?
Nadhani hili litakuwa fundisho. Good work prof.
Dah.! siamini kama anawezatokea binadamu mwenye roho mbaya, kibaraka wa wakubwa, msaliti. Mchawi, na muuaji kama huyo jamaa hapo juu aliyejipinda kutuandikia utumbo, ujinga na uongo ulio pitiliza.! Repoti zakinafiki kama hizi yeye zinamsaidia nini.! Nanamuapia kwamba milele yote utaendelea kuwa kibaraka, umbwa na mtumwa na ww unaweza hata kumsaliti mama yako nafamilia yako.! Uombe 2ckutambue ndani ya udsm maana 2takufanyia tambiko kama dawa nafundisho kwa wasaliti wote.!