snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,700
- 23,618
labda niulize kitu hivi...
tumeoana kwa kuwa wakati umefika?
tumeoana kwa kuwa wengine wanasema tuoaane
tumeoana kwa kuwa ilikuwa sahhihi kuoana na tulijisikia hivo
tumeoana kwa kuwa tunakimbia mashinikizo ya kijamii(umri,uchumi,ego tu)\
tumeoaana kukamilishana?
tumeoana kulipa kisasi na kuumizza wenzi walio tuumiza?
au tumeoana ili tutimize mahitaji ya kibaiolojia (watoto,nenge tu)
tukijiuliza haya maswali ndo tunweza kufikia kwa urahisi kweli hitimisho la kuwa ar we with a right person?
tumeoana kwa kuwa wakati umefika?
tumeoana kwa kuwa wengine wanasema tuoaane
tumeoana kwa kuwa ilikuwa sahhihi kuoana na tulijisikia hivo
tumeoana kwa kuwa tunakimbia mashinikizo ya kijamii(umri,uchumi,ego tu)\
tumeoaana kukamilishana?
tumeoana kulipa kisasi na kuumizza wenzi walio tuumiza?
au tumeoana ili tutimize mahitaji ya kibaiolojia (watoto,nenge tu)
tukijiuliza haya maswali ndo tunweza kufikia kwa urahisi kweli hitimisho la kuwa ar we with a right person?