screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Ukiangalia sura yake wanafanana, ila si sura tu hadi tabia za kupenda 'kioo', yaani yeye kila tukio anaita waandishi wa habari, halafu mtuhumiwa anamshika kwenye mabega sijui ana maana gani, naona hata Rais japo anapenda watu sampuli hii ila nayeye hapendezwi sana na mambo yake ndio maana leo kamchana ile ishu ya kwenda kukata bangi.