Hivi huyu Rais wa TFF amekosa wadhamini wa Ligi Kuu Bara? Kama hilo limemshinda anatufaa kweli?

Bujoro

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
3,046
2,131
Kama jins kichwa cha mada kina jieleza. Mi napata shida sana na uwezo wa kufikiri kwa huyu Kiongozi wetu mkuu wa soka nchini anakosaje kushawishi watu au makampuni ya kudhamini ligi kuu maana vilabu vingi vina ukata wa pesa ambao umesababishwa na kukosekana kwa wasahimn wakuu ktk mpira wetu.

Kama ligi haiko vizuri au kukosa ushindani hata soka la nchi kiujumla itayumba rusitegemee kufika mbali au kufanya vizuri msingi wetu ni dhaifu kushindana na wenzetu wa nchi jirani.

Mi naona huyu rais na bodi yake haitufai kwa msitakabali wa soka nchini. Wanachojua ni kifingia fingia watu kutojihusisha na soka maisha yote jmn hata kama ni adhabu ndo umfungie mwenzio maisha kwann isiwe hata miaka 2 au 5 au ndo kukomoana tu karibini kwa michango yenu.
 
Jaribu kutembelea site ya Tff au hata kusoma magazeti kujua kinachoendelea.Wadhamini wadogo wapo wengi ila mdhamini mkuu wapo kwenye makubaliano for the best kwa vilabu hivi .

Vodacom alikuwa ananyonya sana
 
Hii ligi kama ya mbuzi eti role model wetu ni EPL .

Wazungu wale sio watu wa kawaida, mambo yao yanafanywa kwa akili na mipango endelevu sio kukurupuka kisa umekunywa wanzuki na wewe unataka ligi isiwe na mdhamini mkuu kama EPL.
 
Jaribu kutembelea site ya Tff au hata kusoma magazeti kujua kinachoendelea.Wadhamini wadogo wapo wengi ila mdhamini mkuu wapo kwenye makubaliano for the best kwa vilabu hivi .

Vodacom alikuwa ananyonya sana
Tupe habar mkuu ww mwenye habar za kina
 
Hii ligi kama ya mbuzi eti role model wetu ni EPL .

Wazungu wale sio watu wa kawaida, mambo yao yanafanywa kwa akili na mipango endelevu sio kukurupuka kisa umekunywa wanzuki na wewe unataka ligi isiwe na mdhamini mkuu kama EPL.
Pole EPL INA BARCLAY'S KIJANA
 
Kama jins kichwa cha mada kina jieleza ...mi napata shida sana na uwezo wa kufikiri kwa huyu Kiongoz wetu mkuu wa soka nchini anakosaje kushawishi watu au makampuni ya kudhamini ligi kuu... Maana vilabu vingi vina ukata wa pesa ambao umesababishwa na kukosekana kwa wasahimn wakuu ktk mpira wetu....

Kama ligi haiko vizuri au kukosa ushindani hata soka la nchi kiujumla itayumba rusitegemee kufika mbali au kufanya vizuri msingi wetu ni dhaifu kushindana na wenzetu wa nchi jiraji

Mi naona huyu rais na bodi yake haitufai kwa msitakabali wa soka nchini.. Wanachojua ni kifingia fingia watu kutojihusisha na soka maisha yote jmn hata kama ni adhabu ndo umfungie mwenzio maisha kwann isiwe hata miaka 2 au 5 au ndo kukomoana tu karibini kwa nmichango yenu....


Viongozi wa soka hapa Tanzania ni wapigaji maadili tu, hawako pale kwa ajili ya kuliendeleza soka letu hata siku moja.
 
Kama jins kichwa cha mada kina jieleza ...mi napata shida sana na uwezo wa kufikiri kwa huyu Kiongoz wetu mkuu wa soka nchini anakosaje kushawishi watu au makampuni ya kudhamini ligi kuu... Maana vilabu vingi vina ukata wa pesa ambao umesababishwa na kukosekana kwa wasahimn wakuu ktk mpira wetu....

Kama ligi haiko vizuri au kukosa ushindani hata soka la nchi kiujumla itayumba rusitegemee kufika mbali au kufanya vizuri msingi wetu ni dhaifu kushindana na wenzetu wa nchi jiraji

Mi naona huyu rais na bodi yake haitufai kwa msitakabali wa soka nchini.. Wanachojua ni kifingia fingia watu kutojihusisha na soka maisha yote jmn hata kama ni adhabu ndo umfungie mwenzio maisha kwann isiwe hata miaka 2 au 5 au ndo kukomoana tu karibini kwa nmichango yenu....
Msomali hawezi kuwa na uchungu na soka letu
 
Back
Top Bottom