Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
- Thread starter
- #21
Mwashangaaaa Nini!!!!!!!!!!!? Kazi kungaa sharubu tu!!!!!!!!! Toka lini Fahari wawili wakakaa zizi moja!!!!! Ofcourse huyo bwana ana makosa sana kucheat na huyo Hawara.
Ila hawara pia ana HAKI ZAKE ZA MSINGI TU hapo! We utumike 3 F. Years afu uachwe kizembe zembe hivi hvivi eti kisa mwenzio anarudi!!!!!! Bull shit!!!!!!
Vunja bibi wewe vunja hapo kila kitu!!!!!!!!! Usibakishe hata kikombe!!!!!! Wanaume wana masihara sana na maisha ya wanawake!!!!!!!! Yaani ujisikie tu UNIFURUMUSHE!!!!!! Kirahisi rahisi tu!!!!!!! Mmmmmmmh!
Angekuwa mtu mwepesi mwepsei huyo hawara angeondoka kimya kimya maskini ya Mungu, with her broken heart, akaenda kufia mbele ya safari kimya kimya huku hili Fisadi la Mapenzi Limepoziiiii!!!!!!!!! Halina stress kabisaaa linajinafasi na mkewe!!!!!!! Thubutuuuuuu yao!!!! Vunja hadi mlango hapo shostito!!!!!!!!!!!
haya wee, lakini sifa ya umalaya ni kweli huyo hawara alikuwa nayo, maana nimeshuhudia kila sampuli ya wanaume ikilala hapo nyumbani kwao kila mume awapo safarini tena kwa maconfidensi yote. nadhani kuna mdaku alimmegea mume siri hiyo a umalaya na alipotaka kuthibitisha kwangu na kwa mke wangu tukaruka kuepusha kuvunja uhusiano wa watu ambao hata hatujui walikutana vipi.