Wadau katika hili naomba maoni yenu, the scenario is like this, nilikuwa na mchumba wangu ambaye tulidumu kwa miaka 5, na actually last year ndo nilitaka kumlipia mahari ili tufungue maisha mapya ya ndoa, sasa nikiwa katika harakati za kuwahusisha wazazi nilipokea simu kutoka kwa mwanaume akinitaarifu niachane kabisa na hyo binti ambaye nilimwita mchumba wangu, nilishtuka sana lakini ili nipate ukweli nilijaribu kumu examine huyo dada, ktk hali isiyokuwa ya kawaida na ktk kubabaika alikiri madai ya huyo mwanaume na kusema kaishalipiwa hata mahari! Dah iliniuma sana lakini kama mwanaume ilibidi nikubaliane na hali halisi na kuanza maisha mapya kimapenzi, sasa kituko baada ya miezi kadhaa bila ya mawasiliano yule mwanamke akaanza kujipendekeza kwangu anapiga simu uck, mie sipokei anatuma sms eti bado anahitaji kampani yangu, eti hajisikii vzr asipokuwa na mimi, sasa mm nashindwa kumshangaa, hivi ana lengo gani mwanamke huyu is she of sound mind? Or may be she is insane, na ktk maisha yetu ya uchumba sijawahi kusex naye, labda tu romance,
sasa wanajamii mna ushauri gani kwagu juu ya kibaka huyu?
sasa wanajamii mna ushauri gani kwagu juu ya kibaka huyu?