wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Yaani huyu jamaa anaeitwa Isaya Sambo mpenda amani tz kila station ikifungua upande wa kutoa maoni lazima umsikie tuu hasa hasa DW kipindi cha kutuma maoni au ushauri yaani kwa asilimia kubwa ni yeye DW inabidi wamwajiri tuu au apewe hata tuzo ya usikilizaji bora maana haiwezekani kila taarifa zao zile za saa 6:00 alfari na za saa 1:00mchana naza 6:00 jioni tena ni yeye tuu ,
Huyu huyu bwana mdogo anafanya kazi saa ngapi na anapumkzika saa ngapi.
Huyu huyu bwana mdogo anafanya kazi saa ngapi na anapumkzika saa ngapi.