Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko tandale kwa mtogole..
heeeeeeeeeeeeeeeeeeeyyyyyyyyyyyyyyyy stopppp!! duh, this is disgusting
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
heeeeeeeeeeeeeeeeeeeyyyyyyyyyyyyyyyy stopppp!! duh, this is disgusting
hahahah shosti sikujua ana mke,atanifanya nini kwani na yeye si mwanamke kama mie tu lol,haiwezekani mwanaume mzuri kama huyu akawa na mmoja tu,mie najitolea kuwa wa pili lol
Sasa unamtukana dada wa watu kakufanya nini?Wacha Umalaya kumbaff
Sasa unamtukana dada wa watu kakufanya nini?
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
mimi nitamlinda Mwali wangu anachosema ni kweli kabisa.Hahahahahaha lol! Kweli JF ni burudani ya aina yake!!!....Weye Mwali likaanguka varangati la kuvutana nywele na ngumi zilizoshiba mie siji kuamulia maana uchokozi umeuanza mwenyewe lol! hahahahah! Duh!
Rebeca mpendwa wetu, mbona unazidi kujiharibia tu?
Kwa kweli sina uhakika kama mchumba wako atatokea humu JF...
- We uliingia humu eti unatafuta mchumba.
- Mara ukaanzisha thread ya kusema K yako ni kubwa, imechoka sana,
- alafu we huyo huyo unampenda mpenzi wako wa utotoni...
- sasa unakuja na picha ya mume wa watu eti unataka kua mke wa pili...
hahahah shosti sikujua ana mke,atanifanya nini kwani na yeye si mwanamke kama mie tu lol,haiwezekani mwanaume mzuri kama huyu akawa na mmoja tu,mie najitolea kuwa wa pili lol
Tena bikini ya lace! Unafanya masikhara! Afu anaitanua ukija vaa mwenyewe kama kiwowowo ulipunjwa unakuta inapwaya! Usicheke, tuna kazi nzito na vijana wa siku hizi!
Mzima lakini? Mandela hafi anytime soon, ondoa ile camera yako banaa!
Kati ya hao wadada watatu kuna mmoja anaitwa rebeca..ingekuwa sheria za JF zinaruhusu ningem disclose!!!we ndo yupi kati ya hao warembo hapo pembeni??
Haya uliyaweka wapi kwa ajili ya reference...kwenye RAM au diary??
JF huwa inaniacha hoi....Kama ningekuwa Rais haki ya nani ningekimbilia hapa kuteua baraza langu la mawaziri!!
Waziri mkuu....Klorokwini...
Waziri wa mambo ya ndani......NN
Jinsia na mambo ya MMU........ADi (Naiibu waziri...Mwali!!!!)
Utamaduni na urembo/mapambo....AD
Ngoja nianzishe uzi kabla memory haijafutika....!!