stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Mi mama mingne si unajua ni minungaembe, ilikuwa michangudoa ikashindwa huko sasa imekimbilia kuongelea ngono kwenye mitandao, ukiywfuatilia utakuta hata mume halina, sasa Kama hata mume halina ndio litakuwa na maadili? Hilo halina utofauti na machangudoa, yani Hakuna kitu katika maisha Yangu nachukui Kama mtu anaongelea ngono au maumbile au mahusiano pasipo kutumia tafsida inaniuzi mno Na naweza kumkata mtu hata na panga pindi nikiwa nae Halafu anatamka kwenye eneo linaloweza kusikiizwa au kuonwa na kila mtu