- KILLUMINATI -
Member
- Jan 1, 2011
- 5
- 0
____________________________________
_____________________________________
HAPA NI KWENYE BRIT AWARDS, AMBAPO ALIJIACHIA WAZI HADI SEHEMU YAKE NYETI
niliwahi kusoma makala moja ikiwa inamzungumzia huyu dada kama ni illuminati/freemasons puppet. Unaweza kuona hiyo glove aliyoivaa mkono wa kulia na pia muonekano wake kwenye hiyo picha ya tatu.
Mkuu ukiwa unaamini kila unachokisoma basi muda si mrefu kichwa chako kitajaa hata mambo yasiyo na msingi..
Siku zote mtu akiamua kuwa unique kwenye jamii basi huwa tunamtafsiri tofauti, sijui tuna matatizo gani..
Hiyo ni lifestyle yake aliyojichagulia na wala haihusiani na kitu chochhote wala imani yeyote as long as yeye mwenyewe hajaweka wazi kuwa yuko hivyo.. Manake naona kila mtu maarufu sasa anaitwa mfuasi wa freemasons.......
Ili iweje???????????????????????
Anajua anachokifanya mwenzenu anaingiza mabilioni hapo
Mzee Umesema kweli lakini hujui kwamba mambo yote hapa chini ya Jua yanaanza kwanza kuunganishwa na Imani, unaweza kusema hapana mbona mm siyo lakini believe me kila unachokifanya lazima kiambatane na imani ili unachofanya kiwe na mahali pa kushikilia.... huwezi kwenda Posta bila kupanga kwenda posta, na ramani yote ukaifrem, na duka/ofisi unayoenda ukaiona... ndo hapo unachukua hatua kupanda daladala au kuwasha gari yako, sasa... katika dunia hii kila kitu kina pande mbili, Dice- head and Tail, ubaya na uzuri, mwnaume na mwanamke nk the list is endless But important (Might God Spirit and Evil Spirit) kwa hiyo kila lifestyle unayochagua lazima ibase either side!!
Tafakari tena!!!
come on let's be honest,we both love it dont we!by the way what i dont love about her is her illuminati staff,and i'm having doughts about you,do you support illuminati??(kiluminati)