pipikijiti
JF-Expert Member
- Apr 25, 2017
- 309
- 406
W. J. Malecela naona vijana wamekumiss
Le mbebez bwana,eti hapo anavuta hisia na yeye!
Nitaiga pozi lake...
Acheni mambo binafsi ya watu, tena mnavizia kudhalilishanaHuyu ndie mshauri wa mkuu wetu wa mkoa!
Povu la fomaAcha wivu, money speaking, kaa na ujana wako ukiwa kapuku, utaishia kupiga mgarara, wenzako madingi wanachana ngoma mbichi.
Au kama Vipi!, na wewe tafuta shuga Mami lenye pay na Sisi tukupige picha Kisha tuulize huyo ni Mzee au kijana!
Le .mutuz nasikia jamaa mpka Leo hajawa na wife officially kwa umri wake kuwa live na vibebe sio dili kbsa
Huyu dingi ana vituko kweli eti anasikilizia kwa mbaliiiiii!!!!!
Matukio tofauti pozi lilelile ukiruka stage kwenye maisha ndio mazara yake haya...... Ila zeee linajua kuvuta feeling litakuwa mwanachama wa chaputa
Matukio tofauti pozi lilelile ukiruka stage kwenye maisha ndio mazara yake haya...... Ila zeee linajua kuvuta feeling litakuwa mwanachama wa chaputa