Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,804
Danke.nzuri hiyo
Danke.nzuri hiyo
Hata mm nataraji kumchunga zaidi mwanangu wa kiume kuliko dadaze,bora kachangudoa kuliko kashoga.Kwa kipindi hiki sawa lakini zamani hapo ingekua shida aiseee..
Alikua ananichunga kuliko hata dada zangu..
Gracias loveDanke.
kwa familia zetu hiz ni balaa;kuna siku naambiwa hvy nikazuuuga weeee,na ww pia
manzi kafura aahh niambie uko na nan mpk unashindwa kuongea?,uko kwa dem wako eehh???
I love you too!Leo inabidi tuseme tu ukweli,
Hivi huwa unajibu vipi endapo Ukiwa umekaa na familia yako unaongea na mpenzi wako kwenye simu, kisha kwenye maongezi akakwambia ''I love you''
Hahaaaa hiyo nayo kweli mkuu, sema yy alikua ananichunga nisisake mademuHata mm nataraji kumchunga zaidi mwanangu wa kiume kuliko dadaze,bora kachangudoa kuliko kashoga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhh huyo mother ni mswahili haswaa au anajua kijana wake ni domo zege mpaka mama mzazi anakutafutia demKama nipo na mama hakuna shida..
Maana hata yy hua ananotafutia madem, Ila nikiwa na kubwa la maadui Dingi/Mzee/Gadafi/General Lazima nitoke ndukii
Hamieni PM bhasi kwa hapa mlipofikia haitakiwi muendelee kuwa publichahahahahah sasa ni nini tena lakini? tuko kazina bhana lol
Hapana sema nilichogundua mama yangu ana ile protocal ya kuchaguliana wachumba/wanawakeMhh huyo mother ni mswahili haswaa au anajua kijana wake ni domo zege mpaka mama mzazi anakutafutia dem
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe uliye mbele ya keybord mbona hata huelewiUmejificha nyuma ya keybord ndomana
duu! jamaa noma sana mara nyingi wazee wakiwa wakali sana watoto huwa na mbinu mbadalaAlinichukia ila hakuniambia akawaambia rafiki zake ndio wakaniambia..
Mara ya pili tukakutania mlangoni mwa Guest yy anatoka mm naingia kidogo nifwee hapo hapo