kwa familia zetu hiz ni balaa;kuna siku naambiwa hvy nikazuuuga weeee,na ww piaLeo inabidi tuseme tu ukweli,
Hivi huwa unajibu vipi endapo Ukiwa umekaa na familia yako unaongea na mpenzi wako kwenye simu, kisha kwenye maongezi akakwambia ''I love you''
Unaona aibu?!Mi kwanza siwezi ongea na simu mbele ya wazazi,ikipgwa natoka zangu njee au naenda room
Nakuwa sipo huru kuongea kabisaUnaona aibu?!
Kama mume wangu namwambia I love U more and more my King na busu juu..Leo inabidi tuseme tu ukweli,
Hivi huwa unajibu vipi endapo Ukiwa umekaa na familia yako unaongea na mpenzi wako kwenye simu, kisha kwenye maongezi akakwambia ''I love you''
Kama nipo na mama hakuna shida..
Maana hata yy hua ananotafutia madem, Ila nikiwa na kubwa la maadui Dingi/Mzee/Gadafi/General Lazima nitoke ndukii
Mbele ya sabrina je?!Nakuwa sipo huru kuongea kabisa