Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,600
Heri ya mwaka mpya wadau,
Ni furaha nimeanza mwaka na kuitwa baba. Imekuwa heri sana sikuwah kuwaza kama ingeweza kuwa soon kiasi hiki sababu mapenzi yetu yamekuwa hai si zaidi ya miaka 2.
Katikati ya mapenz motomoto ikatokea kwamba akapata mimba, kwake yeye ilikuwa ni pigo coz hakutegemea. Ila kwangu kimoyomoyo nilifurahia ili at least nijihakikishie nafasi ya penzi langu kwake.
Kuna watasema namsifia, ila kuna ile hali unatembea na mwanamke halafu unaona kabisa watu wengi wanapiga vijicho upembe na wenye guts wakitupa maneno ya hapa na pale ili mradi tu basi kutuliza nafsi zao.
Yeye alikuwa akifanya kazi kwenye mini supermarket moja maeneo ya mikocheni, so ikawa inanilazimu kwenda kila siku kumchukua maana alikuwa akitoka usiku sana na kwa kweli sikuweza kuhimili kumuacha atoke peke yake. Nilikuwa nauoga sana ikizingatia sikua mzoefu kwenye haya mambo nikajisemea hapa nikiwa mzembe anaweza kuchukuliwa huyu.
Cut long story short, mapenzi yetu yalianza kwa moto mnooo na alivopata mimba ilibidi niendeleze kumpenda na this time nilichukua jukumu la kuanza kumpikia.. Kwa miezi karibu 5 aliongezeka sio chini ya kilo 15 na all this time tulikuwa tunaenjoy sex sanaaaa...
Ilibidi alivokaribia kujifungua nimpeleke babati kwa mama angu.. Ili akishajifungua arudi huku. Na tangu aondoke ni takribani miezi 3 imepita..
Ila sasa changamoto nnayopata sasa ni mihemko imekuwa mikubwa mnoooo kwasababu nilikuwa nimeshazoea ku do inafika time sasa naona kabisa kwamba inavoelekea itabidi tu nitafute suluhisho la mda mfupi.
Yaani imefika kipindi naenda hata job lakini unakuta automatically machine ipo ON most of the time mpaka nahofia kama nikiitwa ghafla ntasimamaje, kitu ambacho hakikuwa kinanipata mchumba alivokuwa around.
Kwa kweli ni matatizo mnoooo.. Ikizingatia na huku barabarani unakutana na hivo vibinti vingine vimejazia basi inazidi kuwa tabu sana.. Na wengine huko makazini ndo balaaa..
Ila mchumba kuna siku ananiambia ki utani.. " baba utumie condom" .. Mi namchekea tu na nakuwa naniuliza kama anajua tayar shida nnayopitia..
Nimewaza kuwa nafanya mazoezi ila mda unabana sana..
***
SO HIVI WANAUME WENZANGU, HUWAGA MNACHUKUA HATUA GANI KATIKA HICHI KIPINDI CHA KAMA MIEZI MITATU MKE AKISHAJIFUNGUA??
MNAWEZAJE KUHIMILI KUTO KU DO NJE? AMA INARUHUSIWA HATA MARA MOJA TU IKIMRADI KUCHUKUA TAHADHARI ZA AFYA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni furaha nimeanza mwaka na kuitwa baba. Imekuwa heri sana sikuwah kuwaza kama ingeweza kuwa soon kiasi hiki sababu mapenzi yetu yamekuwa hai si zaidi ya miaka 2.
Katikati ya mapenz motomoto ikatokea kwamba akapata mimba, kwake yeye ilikuwa ni pigo coz hakutegemea. Ila kwangu kimoyomoyo nilifurahia ili at least nijihakikishie nafasi ya penzi langu kwake.
Kuna watasema namsifia, ila kuna ile hali unatembea na mwanamke halafu unaona kabisa watu wengi wanapiga vijicho upembe na wenye guts wakitupa maneno ya hapa na pale ili mradi tu basi kutuliza nafsi zao.
Yeye alikuwa akifanya kazi kwenye mini supermarket moja maeneo ya mikocheni, so ikawa inanilazimu kwenda kila siku kumchukua maana alikuwa akitoka usiku sana na kwa kweli sikuweza kuhimili kumuacha atoke peke yake. Nilikuwa nauoga sana ikizingatia sikua mzoefu kwenye haya mambo nikajisemea hapa nikiwa mzembe anaweza kuchukuliwa huyu.
Cut long story short, mapenzi yetu yalianza kwa moto mnooo na alivopata mimba ilibidi niendeleze kumpenda na this time nilichukua jukumu la kuanza kumpikia.. Kwa miezi karibu 5 aliongezeka sio chini ya kilo 15 na all this time tulikuwa tunaenjoy sex sanaaaa...
Ilibidi alivokaribia kujifungua nimpeleke babati kwa mama angu.. Ili akishajifungua arudi huku. Na tangu aondoke ni takribani miezi 3 imepita..
Ila sasa changamoto nnayopata sasa ni mihemko imekuwa mikubwa mnoooo kwasababu nilikuwa nimeshazoea ku do inafika time sasa naona kabisa kwamba inavoelekea itabidi tu nitafute suluhisho la mda mfupi.
Yaani imefika kipindi naenda hata job lakini unakuta automatically machine ipo ON most of the time mpaka nahofia kama nikiitwa ghafla ntasimamaje, kitu ambacho hakikuwa kinanipata mchumba alivokuwa around.
Kwa kweli ni matatizo mnoooo.. Ikizingatia na huku barabarani unakutana na hivo vibinti vingine vimejazia basi inazidi kuwa tabu sana.. Na wengine huko makazini ndo balaaa..
Ila mchumba kuna siku ananiambia ki utani.. " baba utumie condom" .. Mi namchekea tu na nakuwa naniuliza kama anajua tayar shida nnayopitia..
Nimewaza kuwa nafanya mazoezi ila mda unabana sana..
***
SO HIVI WANAUME WENZANGU, HUWAGA MNACHUKUA HATUA GANI KATIKA HICHI KIPINDI CHA KAMA MIEZI MITATU MKE AKISHAJIFUNGUA??
MNAWEZAJE KUHIMILI KUTO KU DO NJE? AMA INARUHUSIWA HATA MARA MOJA TU IKIMRADI KUCHUKUA TAHADHARI ZA AFYA?
Sent using Jamii Forums mobile app