onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,495
- 3,101
Nami nasubiria mkuu
haina shida mkuu nikitulia nitaandika kila kitu kuhusu huyo mtu.
haina shida mkuu nikitulia nitaandika kila kitu kuhusu huyo mtu.
Tukio hili lilitokea Mombasa Kenya miaka 7 iliyopita...
Asubuhi moja mama mmoja muuza supu mtaani akiwa kainjika sufuria lake la supu ya nyama upenuni ikiendelea kuchemka, mara ghafla lilitokea kundi la nyuki na kuzingira sufuria la supu na kuanza kufyonza supu ya moto
Hili halikuwa tukio la kawaida kwakuwa kwanza nyuki hawapatani na moshi na moto..lakini vilevile vile vyuki hawapatani na chumvi..ni nyuki wa kishirikina pekee ndio wanaweza kutumia hivyo vitu
Kijana mmoja barobaro maarufu sana pale kitaa akajitoa woga na kutafuta ndimu...ili atest uhalisia wa wale nyuki...kama wangeikimbia ndimu basi hakuna shida lakini kama wangekula ndimu basi hapo kulikuwa na shida kwakuwa nyuki na ugwadu ni vitu viwili tofauti kabisa
Kwa mshangao wa wengi nyuki waliokuwa wamezingira sufuria la supu inayochemka na kufyonza kwa raha zao ...ghafla walihamia kwenye vipande vya ndimu iliyoletwa na bwana Erik yule kijana barobaro... Mama muuza supu alikasirika sana japo alikana kuwajua nyuki hao na asili yake
Taharuki ilianza pale baada ya masaa machache bwana Erik kuanza kuugua ugonjwa wa ajabu huku kende na uume vikiwa vimevimba hasa...
Majirani walijaribu tiba ya kila aina ikiwemo maombi nk lakini Erik alifariki kabla ya kutimiza masaa 24
daah, dunia ina mengi mkuu. nakumbuka nikiwa mdogo amewahi kuja mgeni nyumbani akawa hali chakula anakwenda kuwinda panya na kuwala wakiwa wabichi. Nilivyogundua niligoma kulala nae chumbani kwangu cha ajabu nilikuwa nikilala nashtuka yupo kanasa ukutan kama nge mulemule chumbani.
Mshana Mshana Mshana nimekuita mara tatu hayo usemayo ni ya kweli??Yeah kama ni huko sibishi kuna mchungaji mmoja mkewe kazi yake ilikuwa moja tu..kulawitiwa na vijana mtaani..kumbe zile manii zilikuwa na kazi maalum kanisani kwao
Vipi Kanisa la Tapeli na mkabila mashuhuri nchini Mcheza picha za ngono bwana mdogo gwajima boy ?haya makanisa yaone tu alafu endelea na mishe zako za kila siku, kuna mengi sana yasiojulikana.
Unazidi sasa, kwani wapi magonjwa yasiyojulikana hakuna?Ndiyo maana kila kukicha magonjwa yasio julikana
Waitingnitafanya hivyo mkuu na nitasimulia mwanzo mpaka mwisho.
Duhdaah, dunia ina mengi mkuu. nakumbuka nikiwa mdogo amewahi kuja mgeni nyumbani akawa hali chakula anakwenda kuwinda panya na kuwala wakiwa wabichi. Nilivyogundua niligoma kulala nae chumbani kwangu cha ajabu nilikuwa nikilala nashtuka yupo kanasa ukutan kama nge mulemule chumbani.
Huu msemo ufanye kinyume ndio sahihiSwali langu la msingi ni kuwa je Ushirikina ni nini hasa ?
Pili, ukimsikiliza mtangazaji hapo mwanzo kabisa ana hoji je ni Ushirikina au Uchawi ? Tunasema hivi "Kila Uchawi ni Ushirikina lakini si kila Ushirikina ni Uchawi".
Huo msemo hauna kinyume mzee. Yaani kinyume ndiyo UONGO wenyewe.Huu msemo ufanye kinyume ndio sahihi
Kinyume chake ni "Kila ushirikina ni uchawi lakini sio kila uchawi ni ushirikina"Huo msemo hauna kinyume mzee.
Hallucinationsdaah, dunia ina mengi mkuu. nakumbuka nikiwa mdogo amewahi kuja mgeni nyumbani akawa hali chakula anakwenda kuwinda panya na kuwala wakiwa wabichi. Nilivyogundua niligoma kulala nae chumbani kwangu cha ajabu nilikuwa nikilala nashtuka yupo kanasa ukutan kama nge mulemule chumbani.
Nilipo kuambia hii kauli haina kinyume nilimaanisha.Kinyume chake ni "Kila ushirikina ni uchawi lakini sio kila uchawi ni ushirikina"
Kwa maana kwamba kila ushirikina (uhalifu katika taaluma ya uchawi) unatumia mbinu za uchawi, lakini sio kila uchawi(taaluma unayoweza kutibia) ni ushirikina(uhalifu)
Nilipo kuambia hii kauli haina kinyume nilimaanisha.
Ngoja nikuulize swali, Uchawi ni nini na Ushirikina ni nini ? Ukipatia katika haya mawili, huwezi kuandika hiki ulicho kiandika.
Si kweli.Uchawi ni taaluma ya nguvu za asili, ushirikina ni uhalifu wa kutumia taaluma hii adhimu
Lakini nimekuelewa
Sina sababu ya kuongopa
Kinyume chake ni "Kila ushirikina ni uchawi lakini sio kila uchawi ni ushirikina"
Kwa maana kwamba kila ushirikina (uhalifu katika taaluma ya uchawi) unatumia mbinu za uchawi, lakini sio kila uchawi(taaluma unayoweza kutibia) ni ushirikina(uhalifu)
Huo ufafanuzi hapo juu umetosha kabisaMkuu tusaidie hapo ,uchawi na ushirikina tofauti