Sema kweli
Haaaaaa......hii ni kamba ya katanidaah, dunia ina mengi mkuu. nakumbuka nikiwa mdogo amewahi kuja mgeni nyumbani akawa hali chakula anakwenda kuwinda panya na kuwala wakiwa wabichi. Nilivyogundua niligoma kulala nae chumbani kwangu cha ajabu nilikuwa nikilala nashtuka yupo kanasa ukutan kama nge mulemule chumbani.
Limekuja tuu bhana
nitafanya hivyo mkuu na nitasimulia mwanzo mpaka mwisho.Mkuu hii ifungulie Uzi ksbisa naona n kisa kitamu sana
mzee ni ngumu kuamini na kuna mengi kuhusu huyo jamaa sijaamua tu kuyaandika.Haaaaaa......hii ni kamba ya katani
Ndio ushirikina ni halisi mazingaombwe ni viini macho sio halisi...yaani ni janja janja
Na kula ndimu
Hamuna uchawi pale ndio maana ile pesa ina eneo na kikomo cha matumizi na hata wale wanyama huwezi kupewa ukawafugeKwahiyo hakuna madawa wala uchawi ? Maana unakuta anatoa pesa mikononi wakati hana au anatoa sungura au njiwa wakati hakuwepo...nini huwa kinafanyika?
We jamaa....Hawa nyuki aina ya nyukilia
haina shida mkuu nikitulia nitaandika kila kitu kuhusu huyo mtu.Pls share ni habari yenye kuvutia nina hakika