kovidii
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 277
- 264
Straight to the point, imekua kawaida kwa muda mrefu, mabadiliko ya bei ya mafuta ni kila jumatano ya mwezi husika... either kupanda au kushuka,au kubak palepale, mwezi ulopita tulinufaika na corona huko dunian petrol tukauziwa buku jero.
Ila mwez huu ikapanda kidgo hd 1600, ila mwezi huu July kumekua na kupanda kiholela bila taarifa maalum. Yaani unalala unaamka unakuta imepanda sh mia, Mara sh70 yaani vagalant.
Bila taarifa, bila mazoea ya once per month. Sasa hivi iko 1800+ kwa Dar! Hebu nyie EWURA mlioko humu tufafanulieni huu upandishaji holela mnapandisha nyie au ukaid wa wamilik wa shell?
Shubaaaamit!
Ila mwez huu ikapanda kidgo hd 1600, ila mwezi huu July kumekua na kupanda kiholela bila taarifa maalum. Yaani unalala unaamka unakuta imepanda sh mia, Mara sh70 yaani vagalant.
Bila taarifa, bila mazoea ya once per month. Sasa hivi iko 1800+ kwa Dar! Hebu nyie EWURA mlioko humu tufafanulieni huu upandishaji holela mnapandisha nyie au ukaid wa wamilik wa shell?
Shubaaaamit!