Gentle001
Member
- Sep 14, 2020
- 17
- 15
Habari zenu Wana JF
Moja kwa moja ngoja niende kwenye mada. Mshkaji wangu kuna demu mmoja alikuwa anampenda ila anaogopa kumwambia hvyo ilibidi nimsaidie kumtongozea na akampata kweli yule binti.
Shida inakuja kuwa moja mimi ndiye naonekana kuwa chanzo cha ugomvi wao kwani huyo demu hapendi kumwona kabsa mshkaji wangu akiwa na ukarbu na mimi. Demu anadai kuwa mshkaj wangu anatumia muda mwingi kuwa na mm kuliko yeye which is true hivyo anaona ni Bora wakaachana tu kama hatobadilika.
So wana JF naomba mnieleze hii ni nini maana sielewi coz mm na mshkaj wangu ni marafki toka utotoni pia kazi ya kutuingizia kipato wote tunafanya kazi moja na kuhusu mahusiano ya mshkaji wangu na demu wake naona yako poa sn but huwa sifurahii sn kuona kila Mara wakiwa wanagombana mm ndiye nakuwa sababu na sababu yenyewe ndio hyo tu kuwa eti mshkaji anatumia muda mwingi kuwa na mm kuliko huyo bibie. Sielewi hapa labda km Kuna ajenda nyingine.
Wana JF naombeni maoni yenu tafadhari.
Moja kwa moja ngoja niende kwenye mada. Mshkaji wangu kuna demu mmoja alikuwa anampenda ila anaogopa kumwambia hvyo ilibidi nimsaidie kumtongozea na akampata kweli yule binti.
Shida inakuja kuwa moja mimi ndiye naonekana kuwa chanzo cha ugomvi wao kwani huyo demu hapendi kumwona kabsa mshkaji wangu akiwa na ukarbu na mimi. Demu anadai kuwa mshkaj wangu anatumia muda mwingi kuwa na mm kuliko yeye which is true hivyo anaona ni Bora wakaachana tu kama hatobadilika.
So wana JF naomba mnieleze hii ni nini maana sielewi coz mm na mshkaj wangu ni marafki toka utotoni pia kazi ya kutuingizia kipato wote tunafanya kazi moja na kuhusu mahusiano ya mshkaji wangu na demu wake naona yako poa sn but huwa sifurahii sn kuona kila Mara wakiwa wanagombana mm ndiye nakuwa sababu na sababu yenyewe ndio hyo tu kuwa eti mshkaji anatumia muda mwingi kuwa na mm kuliko huyo bibie. Sielewi hapa labda km Kuna ajenda nyingine.
Wana JF naombeni maoni yenu tafadhari.