mbona mim takwimu nilizonazo asilimia 80 ya wanawake wanalala pia, sasa hapo vip? can i have source of your information na surveyd method iliyotumika hapo kwako:yield:
Mimi sijawahi kulala wakati wa tendo la ndoa, bali baada ya tendo la ndoa....!Asilimia 48 ya wanaume wanalala wakati wa tendo la ndoa ???
UTALALAJE WAKATI WA TENDO LA NDOA ?:nono::nono::nono::nono::nono:
duuuhh swali gumu???
lakini labda kama magoli yanaingia haraka... unaingiza goli la kwanza goli lapili umesha anza kusinzia latatu huwezi kufunga.. si maanishi wewe ila wote kwa ujumla... just a suggestion
Mimi nikipiga goli la kwanza kiwango kinapanda nikienda la pili ndio kinazidi nikienda la tatu mashambulizi yanaongezeka na watu wanashangilia kama hawana akili nzuri
Ukilala wakati huo wa tendo la ndoa au ukiwa katikati ya shuguli na mpingo upo ndani inabidi mwenzi wako akutoe kifuani au atasubiri mpaka uamke.
hahahahahahah lol
mmmmmmmmhhhhhhh kusubiria tena ..
yaani unataka kusema unataka refarii asimamishe mchezo na umebaki dakika 5 tu uwanjani??
Unajua dakika tano unaweza kutoka uwanjani umefunga mabao mawili hadi wapinzani wakabaki hawaamini macho yao
Hatari hiyo. Utalalaje wakati wa Manjonjo? Mgonjwa basi au mlevi. Hao wamuone Daktari ili wachunguzwe afya zao.
mmmhhhh baada ya kufunga magoli mnaruhusiwa
ila tatizo ni pale unapolala wakati bado uko uwanjani nasio mapumziko na game bado haijaisha ..