Hatumi text anacheza gemu
alie andika hapo..ange weka na miba kwa juu...kama vipi ange pakaa rami...
Upo UKUTA ULIANDIKWA NI MARUFUKU KUANDIKA AU KUCHORA UKUTA HUU
Yupo JAMAA ALIPITA AKA ANDIKA MBONA WEWE UME ANDIKA...???
Kama mimi wakili wake ningesema hawajasema mamlaka gani iliyotoa amri hiyo, wala hawajaonyesha vizuri eneo husika.
Lakini itategemea pia kama ni private property au public property.
Point iko pale pale, hawajasema kwa amri ya halmashauri ya jiji a ya mwenye nyumba.
Huwezi kuona maandishi na kuyapa uzito tu bila hata kujua yana claim kutoka wapi, ama sivyo Chite Spy angeweza kuzunguka vibaraza vyote vya jiji na kukataza watu kukaa.
Halafu hata hapo "hapa" pana utata.
Kama ni nyumba ya mtu kuna ulazima wa kuweka bayana ni kwa amri ya nani?
Of course, mimi nitajuaje nika verify wapi? Nitajuaje kama ni watoto wa kihuni tu wameandika ili wawe na monopoly ya kukaa hapo au ni kwa amri ya jiji au mwenye nyumba?
Kwani huoni kuwa hilo jiwe/ tofali lipo karibu na nyumba ya mtu? Huoni kuwa ni trespass?
Karibu? Ni tresspass kuwa "karibu" na nyumba ya mtu? Utajuaje kama hii ni nyumba ya mtu, zahanati ya wiaya au gesti bubu?
alie andika hapo..ange weka na miba kwa juu...kama vipi ange pakaa rami...
Upo UKUTA ULIANDIKWA NI MARUFUKU KUANDIKA AU KUCHORA UKUTA HUU
Yupo JAMAA ALIPITA AKA ANDIKA MBONA WEWE UME ANDIKA...???
kaazi kweli kweli...kweli kabisa,
maana ukiandika usikae hapa,maana banafaa kukaliwa,ndo maana mtu anakaa.La msingi pafanye pasifae kukalika.
Au mtu mwingine anakwambia,"usipite hapa,hakuna njia" maana yeke panapitika....pafanye pasipitike...ili mabo yawe rahisi.