hahahahahahahaha.....Bongo tumezoea kuvunja sheria ndo maana jamaa anaona haina uzito, anakaa tuu. Mbona dala dala zimeandikwa pale Kimara - Posta lkn mtu anaenda mlangoni anamuuliza konda WAPI HIYO, konda bila siri wala nini kwa sauti ya juu anatia KIMARA POSTA HIYOOO, BONGO tambalale bana
Bongo tumezoea kuvunja sheria ndo maana jamaa anaona haina uzito, anakaa tuu. Mbona dala dala zimeandikwa pale Kimara - Posta lkn mtu anaenda mlangoni anamuuliza konda WAPI HIYO, konda bila siri wala nini kwa sauti ya juu anatia KIMARA POSTA HIYOOO, BONGO tambalale bana
kuna vitu vinachekesha bhtChimu hahaaaaaa am dying here!!!!!!
Bongo rahaaa jamani!!!!
usikoje hapa ndo kama umewaambia kojoeni hapa hapa !!!
kuna vitu vinachekesha bht
Hatumi text anacheza gemuAnaona, Anasikia na anajua kusoma ndio maana anatuma text kwa cm, huo ni WENDA WAZIMU
Anazo akili timamu hayo maandiko yangekuwa kwa mahali alipoketi ingekuwa ni sahihi ila yapo ubavuni ambapo hata huyo aliyeandika sidhani kama anaweza kukaa hapo.