Hivi huku ndo kuinyoosha nchi au ilikuwa ni chuki tu?

Reucherau

JF-Expert Member
Nov 26, 2014
756
1,740
Tangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu ameingia deni la taifa linaongezeka kwa kasi ya kutisha! hadi mwezi wa 9 mwaka jana lilikuwa limeongezeka kwa 18% kutoka tril 40 to tril 51, na ukopaji bado unaendelea
Tangu aingie ajira zimefutika, hata za walimu wa sayansi na madaktari wa binadamu
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha ya watu ni hofu mtindo mmoja, hasa wapinzani
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie bandari imedoda na idadi ya watalii imeshuka
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima ndo yanazidi kushika kasi
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,

JE HUKU NDO KUINYOOSHA NCHI TUNAKOAMBIWA? AU ILIKUWA CHUKI TU ?
 
Tangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu ameingia deni la taifa linaongezeka kwa kasi ya kutisha! hadi mwezi wa 9 mwaka jana lilikuwa limeongezeka kwa 18% kutoka tril 40 to tril 51, na ukopaji bado unaendelea
Tangu aingie ajira zimefutika, hata za walimu wa sayansi na madaktari wa binadamu
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha ya watu ni hofu mtindo mmoja, hasa wapinzani
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie bandari imedoda na idadi ya watalii imeshuka
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima ndo yanazidi kushika kasi
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,

JE HUKU NDO KUINYOOSHA NCHI TUNAKOAMBIWA? AU ILIKUWA CHUKI TU ?
Wanaofunga Biashara walikua wafanya Biashara ama wakwepa Kodi na wezi????
 
Tangu aingie Hamna maendeleo ni teuwa tengua teuwa tengua kwabla ya kwenda kazini kwanza unaangalia grp la WhatsApp la kazini kama ajira bado ipo unaweza kuta umetenguliwa maana unaweza kwenda kazini kumbe mwenzio usiku alishatengua uteuzi
eti ndo kuinyoosha nchi huko!
 
Usidnganyike kijana Watu wa chini ndo wanaolia sana na ugumu wa maisha awamu hii kuliko awamu yoyte ile! masikini wanaisoma namba vibaya sana
Labda ww unakoishi kama hujishughulishi lazima ulie tu pesa za bure bure na kupewa hazipo.
Hata maandiko yameandika asiefanya kazi na asile.

Afu mwenye post kazungumzia buiashara kufungwa na mahoteli.
 
Tangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu ameingia deni la taifa linaongezeka kwa kasi ya kutisha! hadi mwezi wa 9 mwaka jana lilikuwa limeongezeka kwa 18% kutoka tril 40 to tril 51, na ukopaji bado unaendelea
Tangu aingie ajira zimefutika, hata za walimu wa sayansi na madaktari wa binadamu
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha ya watu ni hofu mtindo mmoja, hasa wapinzani
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie bandari imedoda na idadi ya watalii imeshuka
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima ndo yanazidi kushika kasi
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,

JE HUKU NDO KUINYOOSHA NCHI TUNAKOAMBIWA? AU ILIKUWA CHUKI TU ?
Kwani wanaonewa??
Mtu kakwepa kodi miaka yote hyo leo akibanwa alipe cha kaisali mnasema maneno ya ajabu na story zisizo eleweka .
Afu mkitoka hapo mnataka Elimu bure,sijui mikopo vyuo vikuu,sijui barabara ya lami kijjn kwenu,sijui huduma bora mahospitalin kwa kuendekeza watu kuwa wahujumu na matapeli tapeli.
 
Mimi nafikiri aliyetangwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa October 25, 2015 anajiribu kwa nguvu zote kuuthibitishia umma kuwa yeye ndiye na hapana mwingine. Anafanya tena kwa bidii sana kufanya anayodhania ni mema kwa wanyonge na maskini waliompigia kura bila hata kujali waliomchangia kufika alipo. Anafanya yote kwa nia njema sana huku akiukataa ushauri wa wataalamu na watangulizi wake.

Anafanya yote kwa nia njema sana huku akionekana kuridhika na jinsi waliokuwa wanaishi kama malaika wanakaribia kuhitimu katika kuishi kama mashetani. Anafanya yote kwa nia na dhamira safi huku akionyesha upendo uliojificha nyuma ya chuki ya kuogofya. Anafanya yote kwa nia njema bila kujali itikadi huku akihakikisha kuwa yeye peke yake anasikika na kutizamwa.

Anaamini anafanya kwa nia njema na hivyo nia hiyo njema inahalalisha mbinu zake zenye kutia shaka ka sababu ya maumivu makali yaliyo matokeo ya namna zake za utendaji; na kwa sababu hiyo, ole wa yeyote atakayemkosoa kwa namna yoyote ile....

Tuendelee kumkosoa (constructively) lakini tuwe tayari kukabiliana na matokeo.

Anafanya yote kwa nia njema!
 
Hili nalo neno!!!!
Tangu aingie biashara nyingi zimefungwa,watu hawana pesa, mahoteli yamefungwa au kubadilishwa kuwa makazi
Tangu ameingia deni la taifa linaongezeka kwa kasi ya kutisha! hadi mwezi wa 9 mwaka jana lilikuwa limeongezeka kwa 18% kutoka tril 40 to tril 51, na ukopaji bado unaendelea
Tangu aingie ajira zimefutika, hata za walimu wa sayansi na madaktari wa binadamu
Tangu ameingia watu wanabomolewa tu makazi yao,
Tangu ameingia maisha yamekuwa ya shida sana,
Tangu ameingia wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kulipwa stahiki zao,
Tangu ameingia maisha ya watu ni hofu mtindo mmoja, hasa wapinzani
Tangu aingie barabara na madaraja hayajengwi tena
Tangu aingie hakuna maabara wala mashule yanayojengwa tena
Tangu aingie bandari imedoda na idadi ya watalii imeshuka
Tangu aingie mapambano ya wafugaji na wakulima ndo yanazidi kushika kasi
Tangu ameingia wizi na ajali zimeongezeka sana pamoja na matumizi ya madawa ya kulevya,

JE HUKU NDO KUINYOOSHA NCHI TUNAKOAMBIWA? AU ILIKUWA CHUKI TU ?
 
Tangu aingie tembo bado wanauwawa Kama kawaida,huyu jamaa anatakiwa kushtakiwa kwa kusababishia taifa asara,ana wafanyakazi walioko bench au marisev na bado wanakula mpunga kila mwezi,huyu jamaa anafilisi nchi
 
31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom