Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,888
- 143,985
Hii tabia mbovu ya kusema uchaguzi umekwisha na sasa maisha yaendelee huku kukiwa na sauti za wanaopinga namna uchaguzi ulivyoendeshwa,ni kujidanganya mchana kweupe na zaidi ni kuahirisha matizo na kuondoa kabisa moyo wa kuvumiliana kwa siku za usoni.
Mimi nawashauri wenye mamlaka kurekebisha kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwaka huu pamoja na kuhakikisha Tume Huru ya Uchaguzi inapatikana kabla ya 2020 vinginevyo tunakaribisha matatizo makubwa zaidi siku zijazo.
Tuache kabisa kujidanganya na hoja za kusema eti uchaguzi umekwisha na sasa tusonge mbele ili hali tunajenga mazingira ya kurudi nyuma kama Taifa kwa siku za usoni.
Tuachene na hii tabia ya kufunika kombe mwanaharamu apite kwani kuna siku anaweza kugoma kupita alafu sijui ndio itakuwaje!
Mimi nawashauri wenye mamlaka kurekebisha kasoro zilizojitokeza katika uchaguzi wa mwaka huu pamoja na kuhakikisha Tume Huru ya Uchaguzi inapatikana kabla ya 2020 vinginevyo tunakaribisha matatizo makubwa zaidi siku zijazo.
Tuache kabisa kujidanganya na hoja za kusema eti uchaguzi umekwisha na sasa tusonge mbele ili hali tunajenga mazingira ya kurudi nyuma kama Taifa kwa siku za usoni.
Tuachene na hii tabia ya kufunika kombe mwanaharamu apite kwani kuna siku anaweza kugoma kupita alafu sijui ndio itakuwaje!