Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Nimekuwa nikijaribu kutafakari sana lakini imefikia niyaweke haya wazi! Kitu kama bendera ni tunu muhimu sana kwa nchi! Lakini nikipita mtaani naona mauzauza sana hasa ktk aina za rangi na nakshi ktk bendera yetu murua hii ya Tanzania.
Naomba mnisaidie kama haya ni shida ya macho yangu tu au nanyi mnaona mauzauza!
Naomba mnisaidie kama haya ni shida ya macho yangu tu au nanyi mnaona mauzauza!