Hivi hizi zote ni bendera za Tanzania au macho yangu ndio hayaoni vizuri?

Eti rangi ya dhahabu..!!

Tetea hoja yako usijifiche kwenye matusi, that proves you’re uneducated and uncivilized monkey tryna argue like uko na brain.... kajifunze kujadili mambo na intellectuals.

Fathead uncircumcised baboon.
Wee changudoa unajulia wapi dhahabu! Subiri wakutoe mavi upate kuishi!
 
Wee changudoa unajulia wapi dhahabu! Subiri wakutoe mavi upate kuishi!

Hoja ni rangi sio dhahabu we mbwiga, tulia ujifunze.... kichwani umejaa uharo huna adabu.

Fathead uncircumcised son of a bitch.
 
Hizo si bendera bali ni picha za bendera, swali linakuja umezitoa wapi??? Serikali, wizara ina kipi cha kujibu kuhusu hizo picha za bendera ambazo hata chanzo chake hatukijui, ebu siku nyingine muache kutafuta namna ya kuleta chokochoko zenu nyie mapimbi, shwaini kabisaa. Na ukijaribu kuni quote/reply NAKUOA.
 
Hero,
Sasa hapo kosa la nani ? La msanifu au serikali? Je hizo picja umezipata wapi ? Tika kwa wahusika au watu tu tofauti wenye kusanifu hizo bendera ?

Kama zote umezipata serikali kuu hapo tuna paswa kuhoji na kupewa muafaka, ila kinyume na hapo wewe ndio mwenye makosa.
mkuu zipo mtaani kwetu! Ngoja nitazipiga picha zikiwa mlingotini! niwaletee!
 
ukiona kijani kimekolea ujue ni msimu wa vuli/masika...vinginevyo ni kiangazi

njano iliyokoleaaa ni msimu madini yamepatikana kwa wingi na hata TRA wakatangaza ongezeko la patoo

Bluee...ikikolea jua bahari maji yake ni safi na angavu ..vinginevyooo maji ya mito yameingia kwa wingi yakaleta tope baharini

Nyeusi ...naona haijabadilika sanaaa...

mwisho "uchanganyaji wa rangi ni taaluma hivyo watakiwa kuheshimiwa"
Hivi kumbe maji ya bahari yana rangi ya bluu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote rangi zake zimekosewa!! Sasa muendelee kutoa kasoro kwa kila moja!
 
Hero,
Sasa hapo kosa la nani ? La msanifu au serikali? Je hizo picja umezipata wapi ? Tika kwa wahusika au watu tu tofauti wenye kusanifu hizo bendera ?

Kama zote umezipata serikali kuu hapo tuna paswa kuhoji na kupewa muafaka, ila kinyume na hapo wewe ndio mwenye makosa.
kosa ni elimu! Zamani bendera ya taifa ilitungiwa hata wimbo wanafunzi tuliuimba tukikimbia mchakamchaka, ki rahisi tu tulizijua rangi muafaka!
 
Nimekuwa nikijaribu kutafakari sana lakini imefikia niyaweke haya wazi! Kitu kama bendera ni tunu muhimu sana kwa nchi! Lakini nikipita mtaani naona mauzauza sana hasa ktk aina za rangi na nakshi ktk bendera yetu murua hii ya Tanzania.

Naomba mnisaidie kama haya ni shida ya macho yangu tu au nanyi mnaona mauzauza!View attachment 1323844View attachment 1323845View attachment 1323846View attachment 1323847
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka kung'aa kwa bendera kunatokana na upya na kufifia kunatokana na ukongwe, then material ya rangi iliyotengenezewa, pia kiwanda kilichotengeneza.
Mwisho je huko mtaani wote waliopachika hizo bendera waligaiwa siku moja?

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Weka ya marekani hapa mpaka kwenye mtumba zipo na zinazeeka na rangi zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bendera Ni moja tu!wazee wetu huko miaka hiyo waliimba rangi za bendera mashuleni ila sisi tulio zaliwa juzi juzi apa itatupa shida hata kuzitofautisha.
 
Weka ya marekani hapa mpaka kwenye mtumba zipo na zinazeeka na rangi zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief, mtu anaetengeneza mwenyewe na anaeagizia atengenezewe ni vitu viwili tofauti. Then nchi ambayo ina uchumi mzuri hata quality ya vitu vyao usilinganishe na third world countries bado hujaweka mambo ya 10% kwa wazabuni wanaopatiwa tenda ya kutengeneza.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
8cdd6cdc386cfdfb31ad754f5bd6da9f.jpeg

Hii ndio rangi halisi ya bendera ya Tanzania.

80e4ac2041cbff0f4311acc67d803146.jpeg

Na siyo rangi tofauti na uyakayoiona hapo.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Back
Top Bottom