Hivi hizi zote ni bendera za Tanzania au macho yangu ndio hayaoni vizuri?

Bendera za kwanza na ya mwisho kidogo zilitaka kufanana na bendera ya Taifa. Kosa la bendera ya kwanza ni rangi ya bluu inapaswa kuwa bluu ya bahari ambayo ipo bendera ya mwisho, na kosa la bendera ya mwisho ni rangi ya njano badala ya rangi ya dhahabu. Rangi ya njano ipo bendera ya kwanza.

Kwa hiyo rangi zinazokosewa ni njano na bluu.

Acha ujuaji wewe, hakuna rangi inayoitwa “rangi ya dhahabu”.
 
Hizo za online mkuu ila bendera za nchi ziko poa kabisa wakikupa kaz ya bendera wanakupa na color codes zake
Usiamin sana vitu vya kudownload maana pimbi yeyote mwenye internet anaweza ku upload angalia avatar yangu
Akitaka reference, aangalie mifuko ya kaunda suti za waziri
 
Hats humu kwenye
www.tanzania.go.tz
Nao wamechapia
Screenshot_20200115-140448.png
Screenshot_20200115-140448.png
 
ukiona kijani kimekolea ujue ni msimu wa vuli/masika...vinginevyo ni kiangazi

njano iliyokoleaaa ni msimu madini yamepatikana kwa wingi na hata TRA wakatangaza ongezeko la patoo

Bluee...ikikolea jua bahari maji yake ni safi na angavu ..vinginevyooo maji ya mito yameingia kwa wingi yakaleta tope baharini

Nyeusi ...naona haijabadilika sanaaa...

mwisho "uchanganyaji wa rangi ni taaluma hivyo watakiwa kuheshimiwa"
Art is life.
 
ukiona kijani kimekolea ujue ni msimu wa vuli/masika...vinginevyo ni kiangazi

njano iliyokoleaaa ni msimu madini yamepatikana kwa wingi na hata TRA wakatangaza ongezeko la patoo

Bluee...ikikolea jua bahari maji yake ni safi na angavu ..vinginevyooo maji ya mito yameingia kwa wingi yakaleta tope baharini

Nyeusi ...naona haijabadilika sanaaa...

mwisho "uchanganyaji wa rangi ni taaluma hivyo watakiwa kuheshimiwa"

 
Shithole!

Eti rangi ya dhahabu..!!

Tetea hoja yako usijifiche kwenye matusi, that proves you’re uneducated and uncivilized monkey tryna argue like uko na brain.... kajifunze kujadili mambo na intellectuals.

Fathead uncircumcised baboon.
 
ukiona kijani kimekolea ujue ni msimu wa vuli/masika...vinginevyo ni kiangazi

njano iliyokoleaaa ni msimu madini yamepatikana kwa wingi na hata TRA wakatangaza ongezeko la patoo

Bluee...ikikolea jua bahari maji yake ni safi na angavu ..vinginevyooo maji ya mito yameingia kwa wingi yakaleta tope baharini

Nyeusi ...naona haijabadilika sanaaa...

mwisho "uchanganyaji wa rangi ni taaluma hivyo watakiwa kuheshimiwa"
Hahaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata standard haifuati "standard".


standard
noun
Save Word
To save this word, you'll need to log in.
Log In

stan·dard | \ ˈstan-dərd \
Definition of standard
(Entry 1 of 2)
1: a conspicuous object (such as a banner) formerly carried at the top of a pole and used to mark a rallying point especially in battle or to serve as an emblem
2a: a long narrow tapering flag that is personal to an individual or corporation and bears heraldic devices
b: the personal flag of the head of a state or of a member of a royal family
c: an organization flag carried by a mounted or motorized military unit
d: BANNER sense 1
3: something established by authority, custom, or general consent as a model or example : CRITERIONquite slow by today's standards
4: something set up and established by authority as a rule for the measure of quantity, weight, extent, value, or quality
5a: the fineness and legally fixed weight of the metal used in coins
b: the basis of value in a monetary systemthe gold standard
6: a structure built for or serving as a base or support
7a: a shrub or herb grown with an erect main stem so that it forms or resembles a tree
b: a fruit tree grafted on a stock that does not induce dwarfing
8a: the large odd upper petal of a papilionaceous flower (as of the pea)
b: one of the three inner usually erect and incurved petals of an iris
9: a musical composition (such as a song) that has become a part of the standard repertoire
10: a vehicle with a manual transmission : MANUALHer new car is a standard.

standard
adjective
Definition of standard (Entry 2 of 2)
1a: constituting or conforming to a standard especially as established by law or customstandard weight
b: sound and usable but not of top qualitystandard beef
2a: regularly and widely used, available, or suppliedstandard automobile equipment
b: well-established and very familiarthe standard opera
3: having recognized and permanent valuea standard reference work
4: substantially uniform and well established by usage in the speech and writing of the educated and widely recognized as acceptablestandard pronunciation is subject to regional variations
 
Back
Top Bottom