chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Nakumbuka kipindi cha kupanda mbengu na kuvuna miaka hile.
Watu walibaki na vilio na wengine sijui ilikuwaje maana kuanza kwake na kuisha kwake sijui!
Kuna tv hapa napenda kuangalia taarifa ya habari na inaweka matangazo sijui vyuo,biashara.
Hila hii tv ishampa jamaa unaweka pesa hana kufugia kuku wewe unaweka pesa yako alafu hana kutafutia soko na unapata faida ukiwa umepozi.
Sasa nimekuja kuona tangazo lengine kuhusu zao la vanila na kulisema kuwa kilo moja sawa na milioni na mada yako kama niliyo sema ya kuku.
Nimebaki kushangaa hizi staili
Watu walibaki na vilio na wengine sijui ilikuwaje maana kuanza kwake na kuisha kwake sijui!
Kuna tv hapa napenda kuangalia taarifa ya habari na inaweka matangazo sijui vyuo,biashara.
Hila hii tv ishampa jamaa unaweka pesa hana kufugia kuku wewe unaweka pesa yako alafu hana kutafutia soko na unapata faida ukiwa umepozi.
Sasa nimekuja kuona tangazo lengine kuhusu zao la vanila na kulisema kuwa kilo moja sawa na milioni na mada yako kama niliyo sema ya kuku.
Nimebaki kushangaa hizi staili