Hivi hizi tume za vyuo vikuu navyo vina ulaji

mundo

JF-Expert Member
Aug 9, 2010
200
9
Nikiwa naangalia bunge, uchaguzi wa jana na leo uchaguzi wa kuwakilisha wabunge ktk vyuo vikuu na taasisi za elimu ya juu.wakiomba kura kwa unyenyekevu hivi huko nako kuna maslahi?
 
mkuu sidhani kama wana uchungu wa kuinua elimu kukimbilia hizo tume ni wanafki tuuu wanakimbilia mshiko tu hao
 
Back
Top Bottom