Hivi hizi standard treatment guideline za Wizara ya Afya nani huzitengeneza?

tutafikatu

JF-Expert Member
Dec 17, 2011
3,238
4,464
Nilikuwa ninazipitia Standard Treatment Guideline za MoH. Nikawa ninajiuliza nani kazitengeneza na zimelenga vituo gani? Lakini nikashangazwa na hii sentensi (This guideline) will be used at all health facility levels in order to improve Care and Treatment of children and adolescents. The guidelines provide an up-to-date clinical management and therefore improve quality of health care services in the Country

Ni ajabu sana kuona katika karne hii inatengezwa guideline kwa kutumia old school bila evidence na ikatakiwa itumike kwenye facilities ndogo hadi kubwa. Mfano kwenye treatment ya Dilated and Restrictive Cardiomyopathy wanasema treatment ni Digoxin AND Frusemide and Spironolactone. How can you treat dilated cardiomyopathy with ONLY (if need be) Digoxin and Diuretics? Easy like that?!!! Unamaanisha wagonjwa wa JKCI watibiwe hivyo? Je, hii guideline ifuatwe na vituo vya Afya vidogo vidogo au hadi kwenye super specialized hospitals kama Muhimbili, JKCI, Benjamini Mkapa n.k?

Bahati mbaya sana NHIF pia hutumia hii guideline kama miongozo yao katika kukata claims za vituo vya afya.

Au ndio kupeana deals za per diem hadi kwenye treatment guidelines?
 

Attachments

  • pTSG.pdf
    7.8 MB · Views: 672
Sasa kwanini hukwenda wizara ya afya ukawauliza,ukahoji with logics zako huko wizarani unaleta hapa hutapata majibu? Au unataka sifa uonekane unajua zaidi kuliko wizara?
 
kwa Mara ya kwanza naona mapicha picha tu; kweli taaluma hazifanani!!!!!!!!!!!!cardiology, sexology, intermidology of ponogeology,Bashiteology brings Impondasoni!!
 
Nilikuwa ninazipitia Standard Treatment Guideline za MoH. Nikawa ninajiuliza nani kazitengeneza na zimelenga vituo gani? Lakini nikashangazwa na hii sentensi (This guideline) will be used at all health facility levels in order to improve Care and Treatment of children and adolescents. The guidelines provide an up-to-date clinical management and therefore improve quality of health care services in the Country

Ni ajabu sana kuona katika karne hii inatengezwa guideline kwa kutumia old school bila evidence na ikatakiwa itumike kwenye facilities ndogo hadi kubwa. Mfano kwenye treatment ya Dilated and Restrictive Cardiomyopathy wanasema treatment ni Digoxin AND Frusemide and Spironolactone. How can you treat dilated cardiomyopathy with ONLY (if need be) Digoxin and Diuretics? Easy like that?!!! Unamaanisha wagonjwa wa JKCI watibiwe hivyo? Je, hii guideline ifuatwe na vituo vya Afya vidogo vidogo au hadi kwenye super specialized hospitals kama Muhimbili, JKCI, Benjamini Mkapa n.k?

Bahati mbaya sana NHIF pia hutumia hii guideline kama miongozo yao katika kukata claims za vituo vya afya.

Au ndio kupeana deals za per diem hadi kwenye treatment guidelines?
Hizo sera zenu za afya mnajua wanaoziandika? Mjomba wangu ni mwalimu wa somo la agriculture, ndiyo taaluma yake aliyokuwa anatumikia nilipokuwa mwanafunzi wa sekondari. Miaka ya kwenye 2000 hivi ikaanzishwa taasisi inaitwa NACTE ya mambo ya udhibiti wa vyuo, akahamia huko. Siku hizi namwona mara kwa mara kwenye makongamano ya wizara ya afya huko ndiye anayewaandikia sera za mambo ya mafunzo, tiba, maabara nk, sasa unatarajia aandike nini mwalimu wa agriculture?

Sipingi mjomba kufanya kazi hizo, najua ni mtaalamu sana, lakini wangemtumia kwa faida zaidi kama wangemweka kushughulikia mambo hayohayo kwenye taaluma yake ya agriculture.

Mambo ya kupuuza taaluma ndiyo yametufikisha huku.
 
Shida ya serikalini iko hivi; inapotokea kazi yoyote inayohusisha malipo ya ziada, basi hapo weledi na ujuzi wa watu unawekwa kando, wanaofahamiana ndio wanao megeana mapande ya kwenda kuzifanya na mwisho wa siku ndio hayo madudu tunayoyaona kila siku.
 
Kijana unatakiwa ukaechini upigwe pindi haswa ndio utajua maana ya guidelines otherwise utanichelewesha kufturu.

Umeongea nilichotaka niongee! Mtoa mada ametuchanganya sisi tulio na upeo wa masuala haya kiasi kwamba hatujui tuanzie wapi kumsaidia.
 
Hii ni latest mara ya mwisho nakumbuka walitoa 2007 kama sikosei
Shida ya serikalini iko hivi; inapotokea kazi yoyote inayohusisha malipo ya ziada, basi hapo weledi na ujuzi wa watu unawekwa kando, wanaofahamiana ndio wanao megeana mapande ya e that?!!! Unamaanisha wagonjwa wa JKCI watibiwe hivyo? Je, hii guideline ifuatwe na vituo vya Afya vidogo vidogo au hadi kwenye super specialized hospitals kama Muhimbili, JKCI, Benjamini Mkapa n.k?

Bahati mbaya sana NHIF pia hutumia hii guideline kama miongozo yao katika kukata claims za vituo vya afya.

Au ndio kupeana deals za per diem hadi kwenye treatment guidelines?
mi sioni shida yoyote hapo kwe hio guidelline, ukielewa kuwa hio ni guideline basi hakuna tabu yoyote uwe jkci au kibiti miongozo ni hiohio, halaf kwan ni nini kimemic labda mseme wakuu
 
Shida ya serikalini iko hivi; inapotokea kazi yoyote inayohusisha malipo ya ziada, basi hapo weledi na ujuzi wa watu unawekwa kando, wanaofahamiana ndio wanao megeana mapande ya kwenda kuzifanya na mwisho wa siku ndio hayo madudu tunayoyaona kila siku.
kuna madudu gani hapo kwani mkuu?
 
mi sioni shida yoyote hapo kwe hio guidelline, ukielewa kuwa hio ni guideline basi hakuna tabu yoyote uwe jkci au kibiti miongozo ni hiohio, halaf kwan ni nini kimemic labda mseme wakuu[/QUOTE
You must be an idiot, kwenye taaluma ya afya watu wanafanya research mbali mbali kuhusiana na tiba, ndio maana chloroquine zimepotea kwenye maduka, kwa hizo tafiti ndio hapo uponyaji wa haraka unapotokea na maisha ya mgonjwa yanapokiwa mazuri
 
Back
Top Bottom