mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
ItNimebahatika kutembelea mkoani kwangu nilikozaliwa baada ya kukulu kakala kibao za kimaisha.
Nikaamua kucheki cheki mitaa ya uswazi maana nimekuta mabadiliko maeneo mengi huku kwetu, nilizaliwa tarehe 25 mtaa wa wa Bugando "B" sitaki ujue sana kuhusu hili, sasa nikaona ninyooshe mpaka mitaa ya Mchafukoga kata ya Igogo Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.
Kabla sijafika nilipita Pepsi nikapandisha mpaka viwanda vya pamba nikashangaa kuona kuna lami safi kwani since miaka hiyo kulikuwa na mabonde na vumbi ambayo ikipigwa mvua inakua tope jeusi kama lile wanakulaga bata karibu na vyoo.
Nilivyofika Mchafukoga nikawa nazama ndani ndani mpaka shede. Hizi nyumba zimenisikitisha sana sijui kuna watu wanaishi humu, naomba kujua mambo yafuatayo wenyeji japokuwa mimi sio mgeni mitaa hii but zile nyumba zilikuwa zinavutia miaka ya 2005 hivi lakini sasa hivi imekuwaje.
Je zinamilikiwa na nani kwa sasa na nini kinaendelea?
Note
Hizi nyumba zilikuwa za shirika la reli
Nikaamua kucheki cheki mitaa ya uswazi maana nimekuta mabadiliko maeneo mengi huku kwetu, nilizaliwa tarehe 25 mtaa wa wa Bugando "B" sitaki ujue sana kuhusu hili, sasa nikaona ninyooshe mpaka mitaa ya Mchafukoga kata ya Igogo Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza.
Kabla sijafika nilipita Pepsi nikapandisha mpaka viwanda vya pamba nikashangaa kuona kuna lami safi kwani since miaka hiyo kulikuwa na mabonde na vumbi ambayo ikipigwa mvua inakua tope jeusi kama lile wanakulaga bata karibu na vyoo.
Nilivyofika Mchafukoga nikawa nazama ndani ndani mpaka shede. Hizi nyumba zimenisikitisha sana sijui kuna watu wanaishi humu, naomba kujua mambo yafuatayo wenyeji japokuwa mimi sio mgeni mitaa hii but zile nyumba zilikuwa zinavutia miaka ya 2005 hivi lakini sasa hivi imekuwaje.
Je zinamilikiwa na nani kwa sasa na nini kinaendelea?
Note
Hizi nyumba zilikuwa za shirika la reli