Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,329
Hivi haya mambo tunayoambiwa tunapaswa kuyaamini na kuyachukulia serious kuna watu kweli wameyafanya?
Mbona kama ni matukio yanayoonekana kuandaliwa kiufundi kufunika matukio mengine ya nyuma?
Seriousness katika ku-deal na mambo haya kweli ipo/inaonekana?
Ifike mahali tuwe tunapewa na ushadi wa haya mambo maana yanashangaza sana na kwakweli hayaingii akilini kiasi kwamba mtu unahisi huenda huu ni mchezo tu.
Hizi risky mbona haziingii akilini na badala yake zinaibua maswali mengi?
Alafu mbona matukio haya yanaonekana kusubiri occassion maalumu ndio yanaibuliwa?
Mbona kama ni matukio yanayoonekana kuandaliwa kiufundi kufunika matukio mengine ya nyuma?
Seriousness katika ku-deal na mambo haya kweli ipo/inaonekana?
Ifike mahali tuwe tunapewa na ushadi wa haya mambo maana yanashangaza sana na kwakweli hayaingii akilini kiasi kwamba mtu unahisi huenda huu ni mchezo tu.
Hizi risky mbona haziingii akilini na badala yake zinaibua maswali mengi?
Alafu mbona matukio haya yanaonekana kusubiri occassion maalumu ndio yanaibuliwa?