Hivi hizi habari tunazoambiwa nani ana uhaikika kama ni za kweli

Kika siku tunaona watu wanachinjwa kwanza halafu baadaye ndio tunaambiwa walichinjwa kwa sababu wali iba, inakuwa kama vijisababu tuuu.
Naona mwaka unausha hivo mambo ndio hayo hayo.
Kuna shida hapa
Shida iko wapi hapo? Na mwenye kutenda hayo alishakiri hadhaharani kwamba urais ni kazi ngumu na yeye ali-beep tu lakini Kivuitu alipokea simu.

Sasa lililobakia ni kuisoma tu namba na kumuombea ili atutumbue bila ganzi.

Uchumi unakuwa kwa mwendo kasi na unategemewa katika robo ya mwisho kukua kwa asilimia 7.9, viwanda vinajengwa kwa kasi, kuliko mwendokasi wenyewe. TRA wanakusanya fedha kutoka kwa naniii na zimekuwa nyingi kiasi ambacho wanazipandikiza kwenye mabenki ili zitoe matunda.

Wahanga wa Tetemeko wameshapatiwa misaada na mahitaji yao. Elimu bure, kuwatoza kodi bure. Hapana kazi tu. Mnataka nini zaidi, enyi wadanganyika?

Mfumo wa ukusanyaji mapato umeboreshwa na wananchi wamehamasika kuekeza vitega uchumi na kufurahia maisha yao ya kimalaika na mwendokasi.

Hakuna shida hapa, kila kitu kinaenda kwa mtindo wa kubana matumizi. Jipange ili ukaze mkanda.

Hivi karibuni zoezi la kuhakiki watu hewa litaanza.
 
Shida iko wapi hapo? Na mwenye kutenda hayo alishakiri hadhaharani kwamba urais ni kazi ngumu na yeye ali-beep tu lakini Kivuitu alipokea simu.

Sasa lililobakia ni kuisoma tu namba na kumuombea ili atutumbue bila ganzi.

Uchumi unakuwa kwa mwendo kasi na unategemewa katika robo ya mwisho kukua kwa asilimia 7.9, viwanda vinajengwa kwa kasi, kuliko mwendokasi wenyewe. TRA wanakusanya fedha kutoka kwa naniii na zimekuwa nyingi kiasi ambacho wanazipandikiza kwenye mabenki ili zitoe matunda.

Wahanga wa Tetemeko wameshapatiwa misaada na mahitaji yao. Elimu bure, kuwatoza kodi bure. Hapana kazi tu. Mnataka nini zaidi, enyi wadanganyika?

Mfumo wa ukusanyaji mapato umeboreshwa na wananchi wamehamasika kuekeza vitega uchumi na kufurahia maisha yao ya kimalaika na mwendokasi.

Hakuna shida hapa, kila kitu kinaenda kwa mtindo wa kubana matumizi. Jipange ili ukaze mkanda.

Hivi karibuni zoezi la kuhakiki watu hewa litaanza.


Sina neno bhana, yaan nji hiii
 
Hivi haya mambo tunayoambiwa tunapaswa kuyaamini na kuyachukulia serious kuna watu kweli wameyafanya?

Mbona kama ni matukio yanayoonekana kuandaliwa kiufundi kufunika matukio mengine ya nyuma?

Seriuosness katika ku-deal na mambo haya kweli ipo/inaonekana?

Ifike mahali tuwe tunapewa na ushadi wa haya mambo maana yanashangaza sana na kwakweli hayaingii akilini kiasi kwamba mtu unahisi huenda huu ni mchezo tu.

Hizi risky mbona haziingii akilini na badala yake zinaibua maswali mengi?

Alafu mbona matukio haya yanaonekana kusubiri occassion maalumu ndio yanaibuliwa?
mkuu yapi hayo
 
Tujikumbushe wakati wa kampeni! Kwangu ukiharibu usitegemee kuhamishwa, utakuwa huna kazi! Wenyewe tu mashahidi! Kwangu sitapenda kuambiwa habari ya mchakato unaendelea, leo ni mwezi wa sita tunaendelea na mchakato wa watumishi hewa! Kwangu hakuna mwanafunzi atakayekosa mkopo, ukichaguliwa tu kwenda chuo kikuu fedha yako utaikuta imetangulia leo juma la 6 first year hawajapata fedha yao wameishia kudanganywa kusainishwa tu! continuing hata hawajui hatima yao! Kweli kuongoza nchi ni kazi!!
Kumwamini mwanaccm ni zaidi ya laana .
 
Sasa mtu kahongwa na Mpemba halafu anateuliwa kwengine !

Wewe nani alikuambia aliyeteuliwa kahongwa na Mpemba? Uzushi wako mwenyewe unataka ufanyiwe kazi? Subiri hawa ulioambiwa wame deposit fedha katika benki binafsi uone watachukuliwa hatua gani. Uzushi duniani huzaliwa kila siku wewe yote unayozushiwa unayafanyia kazi?
 
"you can deceive for some time, but...". Hili suala la kuendelea kuamini kuwa watu fulani ni wajinga wakati na wewe umetokana na hao hao haliwezi kudumu! Hata wazungu walifikia sehemu wakabadili mbinu i.e. 'uhuru'.
 
Ni mengi mno.
Mfano watu wanachukua makusanyo ya TRA wanakwenda kuweka kwenye fixed acc. kwenye bank fulani na fulani.
Hivi makusanyo yalikuwa hayajulikani ni kiasi gani so kilichopatikana ni hiki kiende hazina .

Au ilikuwa kila mtu anajiamulia tu?

Sasa kama hawa watu walikuwa wanachota hela huko TRA si wawahishwe kwenye ile mahakama na wafungwe HARAKAHARAKA kwa sababu ushahidi uko open?

Au wanasubiri kupangiwa kazi nyingine?

SIJARIBIWI!!

Tumeambiwa ela za TRA zilizowekwa fixed deposit sio ela za makusanyo bali ni ela za TRA kama taasisi/shirika. Kwa mujibu wa wanaotetea wanasema ela za makusanyo hazikai TRA bali hazina na kwamba ela za taasisi ya TRA zinaweza kufanyiwa maamuzi na taasisi ikiwamo maamuzi ya kuziwekeza.

Lakini papo hapo tunaambiwa kwamba mkuu wa nchi alikataza ela kuwekwa kwenye bank binafsi, sasa tusichojuwa ni ela gani zilikatazwa? Za makusanyo au za taasisi ya TRA?

Kwakuwa tumeshaona maamuzi kibao ya kukurupuka tunapata kigugumizi kujuwa kama hii ni moja ya amri kurupushi au lah! Sana sana tunapoona hakuna hatua za kisheria zikichukuliwa.

Tumebaki kushangaa
 
Wewe nani alikuambia aliyeteuliwa kahongwa na Mpemba? Uzushi wako mwenyewe unataka ufanyiwe kazi? Subiri hawa ulioambiwa wame deposit fedha katika benki binafsi uone watachukuliwa hatua gani. Uzushi duniani huzaliwa kila siku wewe yote unayozushiwa unayafanyia kazi?
Mkuu umeingia saa ngapi Tanzania ?
 
Back
Top Bottom