Acha porojo za mitani.Kuna mzungu amempa mfanyakazi wake mswahili juisi akanywa. Alipoinywa meno yakaanza kung'oka moja moja na kufika asubuhi meno yote mdomoni yakawa yameng'oka. Huyu mzungu ni M Denmark.
Kisa kilikuwa hivi:
Huyo mzungu alisafiri kwenda kwao kwa muda wa wiki 3. Akampa maagizo kila siku awe anampa mbwa wa huyo mzungu kiasi cha nyama kilo mbili na chakula fulani hivi special cha mbwa kila siku mara moja.
Sasa huyo mfanyakazi Mtanzania badala ya kumpa nyama hiyo huyo mbwa kila siku alikuwa nyama anayoinunua kwa ajili ya mbwa yeye anaipeleka nyumbani kwake (maeneo ya Oysterbay karibu na Ubalozi wa Marekani. Mitaa hiyo wenyeji wataijua vizuri.)
Yule mbwa alikuwa anamkorogea kile chakula special bila nyama.
Mzungu aliporudi alikuta yule mbwa amekonda sana. Akamuliza yule mfanyakazi wake kwanini mbwa amekonda vile. Jibu la mswahili na kama mnavyojua uongo wa waswahili akasema mbwa huyo ni mgonjwa.
Yule mzungu akampeleka kwa daktari wa mbwa. Majibu ya daktari ni kwamba mbwa haumwi bali ana njaa.
Mzungu alikasirika sana.
Lakini hakumuuliza kitu yule mswahili zaidi ya kumpa ile juisi niliyoieleza hapo juu.
Sasa je, huyu mzungu ile juisi aliyompa mfanyakazi wake inawezekana ndio chanzo cha meno kung'oka? Na je, yawesekana ni hasira za kutesa kwa njaa mbwa wake?
Mswahili amekataa kwenda polisi kushtaki maana anadai hajui ataanzia wapi.
Tutafakari.
Mbona mimi pia nimewaza kama wewe.- Mbwa = chama Cha siasa
- Mfanyakazi = Yule jamaa alieenda kujificha ubalozini.
- Nyama kilo mbili = Pesa ya kampeni
- Kukonda = Hamna nafasi ya Dola
- Kung'oka meno yote = Hana ushaidi wa kumuaminisha mwenye Mbwa kuwa aliibiwa
- Hawezi kushtaki sababu hawezi uhakika = Hawezi kwenda mahakamani sababu Hana vielelezo
Nawatania bana
Ni kukosa kwetu elimu na umasikini tu ndio inasumbua. Hawajui kama kuna meno ya bandia (dentures) anaweza kutengenezewa? Abanwe huyo mzungu atoe hela kugharamia.Siyo mimi. Ni taatifa kutoka kwa mkewe aliyepiga simu akilia kuhadithia kisa hiki.
Mie nlikuwa natania tuu,Mbona mimi pia nimewaza kama wewe.
Threads za kitoto zinazidi kutamalaki hapa JF!Kuna mzungu amempa mfanyakazi wake mswahili juisi akanywa. Alipoinywa meno yakaanza kung'oka moja moja na kufika asubuhi meno yote mdomoni yakawa yameng'oka. Huyu mzungu ni M Denmark.
Kisa kilikuwa hivi:
Huyo mzungu alisafiri kwenda kwao kwa muda wa wiki 3. Akampa maagizo kila siku awe anampa mbwa wa huyo mzungu kiasi cha nyama kilo mbili na chakula fulani hivi special cha mbwa kila siku mara moja.
Sasa huyo mfanyakazi Mtanzania badala ya kumpa nyama hiyo huyo mbwa kila siku alikuwa nyama anayoinunua kwa ajili ya mbwa yeye anaipeleka nyumbani kwake (maeneo ya Oysterbay karibu na Ubalozi wa Marekani. Mitaa hiyo wenyeji wataijua vizuri.)
Yule mbwa alikuwa anamkorogea kile chakula special bila nyama.
Mzungu aliporudi alikuta yule mbwa amekonda sana. Akamuliza yule mfanyakazi wake kwanini mbwa amekonda vile. Jibu la mswahili na kama mnavyojua uongo wa waswahili akasema mbwa huyo ni mgonjwa.
Yule mzungu akampeleka kwa daktari wa mbwa. Majibu ya daktari ni kwamba mbwa haumwi bali ana njaa.
Mzungu alikasirika sana.
Lakini hakumuuliza kitu yule mswahili zaidi ya kumpa ile juisi niliyoieleza hapo juu.
Sasa je, huyu mzungu ile juisi aliyompa mfanyakazi wake inawezekana ndio chanzo cha meno kung'oka? Na je, yawesekana ni hasira za kutesa kwa njaa mbwa wake?
Mswahili amekataa kwenda polisi kushtaki maana anadai hajui ataanzia wapi.
Tutafakari.
Wazungu wanapenda sana dogii
Mbongo ukimpa viroba vya chakula cha kuku shamba anauza, ukimpa cement lzm aibe, ukimwachia ng'ombe wa maziwa lzm akupige
Nyama ni elfu 8 kwa sasaKilo 2 nyama kila siku.6000×2=12,000...12,000×28=336,000
Huyo mbwa kwa mwezi atakuwa anakula mshahara wa walimu 13,000 wa awamu ya 5 wa serikali ya viwanda,hiyo ni nyama tu,bado chakula kile kingine na matibabu
Yaani jamaa inaonekani ni Chauroho aliyekubuhu.Pole sana Mswahili, tamaa mbele mauti nyuma na polisi hauwezi kwenda hauna ushahidi.
Ushahidi ulikuwa ni ile juice ikapimwe na pia athari kwenye meno imesababishwa na kemikali zilizopo kwenye juice. Sasa juice ulibugia yote kusindikiza nyama alizotakiwa kula mbwa.
Hata juice ingekuwepo ungeishawishi vipi mahakama bila kutia shaka kwamba ile juice ulipewa na Mzungu?
Ndugu hapo huna chako tafuta tu meno ya bandia.
Siku nyingine uwe unajiweka wazi kuwa wewe ndiye mla nyama
Leo ndo nimeelewa maana ya msemo wa wabongo, "bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko binadamu Africa"Kuna Mjerumani alikuwa anarudi kwao jamaa aliomba aachiwe mbwa wake na jibu lilikuwa kuliko nikuachie huyu mbwa ni bora nimpige risasi afe maana hutamlisha kama mimi ninavyomlisha.
Si unaona hata siasa za waafrika full majitakaAngekula nusu kila siku na Mbwa angempatia moja na nusu kila siku, Mbwa asingepungua uzito na kukonda sana. Angemsamehe ila kula nyama yote, hata mimi nisingekubali kamwe!
Waswahili ni wa kutuvumilia sana, mambo yetu yanakera sana aisee!
Meno yameng'oka kutokana na laana toka kwa mbwa.Kuna mzungu amempa mfanyakazi wake mswahili juisi akanywa. Alipoinywa meno yakaanza kung'oka moja moja na kufika asubuhi meno yote mdomoni yakawa yameng'oka. Huyu mzungu ni M Denmark.
Kisa kilikuwa hivi:
Huyo mzungu alisafiri kwenda kwao kwa muda wa wiki 3. Akampa maagizo kila siku awe anampa mbwa wa huyo mzungu kiasi cha nyama kilo mbili na chakula fulani hivi special cha mbwa kila siku mara moja.
Sasa huyo mfanyakazi Mtanzania badala ya kumpa nyama hiyo huyo mbwa kila siku alikuwa nyama anayoinunua kwa ajili ya mbwa yeye anaipeleka nyumbani kwake (maeneo ya Oysterbay karibu na Ubalozi wa Marekani. Mitaa hiyo wenyeji wataijua vizuri.)
Yule mbwa alikuwa anamkorogea kile chakula special bila nyama.
Mzungu aliporudi alikuta yule mbwa amekonda sana. Akamuliza yule mfanyakazi wake kwanini mbwa amekonda vile. Jibu la mswahili na kama mnavyojua uongo wa waswahili akasema mbwa huyo ni mgonjwa.
Yule mzungu akampeleka kwa daktari wa mbwa. Majibu ya daktari ni kwamba mbwa haumwi bali ana njaa.
Mzungu alikasirika sana.
Lakini hakumuuliza kitu yule mswahili zaidi ya kumpa ile juisi niliyoieleza hapo juu.
Sasa je, huyu mzungu ile juisi aliyompa mfanyakazi wake inawezekana ndio chanzo cha meno kung'oka? Na je, yawesekana ni hasira za kutesa kwa njaa mbwa wake?
Mswahili amekataa kwenda polisi kushtaki maana anadai hajui ataanzia wapi.
Tutafakari.
Wewe ndiye unaemjua mzungu na huyo mfanyakazi wake. Hivyo wewe ndiye mwenye majibu sahihi kwetu. Sisi wa huku kinjekitile village tutajuaje sababu ya huyo mtumishi kung'oka meno?Kuna mzungu amempa mfanyakazi wake mswahili juisi akanywa. Alipoinywa meno yakaanza kung'oka moja moja na kufika asubuhi meno yote mdomoni yakawa yameng'oka. Huyu mzungu ni M Denmark.
Kisa kilikuwa hivi:
Huyo mzungu alisafiri kwenda kwao kwa muda wa wiki 3. Akampa maagizo kila siku awe anampa mbwa wa huyo mzungu kiasi cha nyama kilo mbili na chakula fulani hivi special cha mbwa kila siku mara moja.
Sasa huyo mfanyakazi Mtanzania badala ya kumpa nyama hiyo huyo mbwa kila siku alikuwa nyama anayoinunua kwa ajili ya mbwa yeye anaipeleka nyumbani kwake (maeneo ya Oysterbay karibu na Ubalozi wa Marekani. Mitaa hiyo wenyeji wataijua vizuri.)
Yule mbwa alikuwa anamkorogea kile chakula special bila nyama.
Mzungu aliporudi alikuta yule mbwa amekonda sana. Akamuliza yule mfanyakazi wake kwanini mbwa amekonda vile. Jibu la mswahili na kama mnavyojua uongo wa waswahili akasema mbwa huyo ni mgonjwa.
Yule mzungu akampeleka kwa daktari wa mbwa. Majibu ya daktari ni kwamba mbwa haumwi bali ana njaa.
Mzungu alikasirika sana.
Lakini hakumuuliza kitu yule mswahili zaidi ya kumpa ile juisi niliyoieleza hapo juu.
Sasa je, huyu mzungu ile juisi aliyompa mfanyakazi wake inawezekana ndio chanzo cha meno kung'oka? Na je, yawesekana ni hasira za kutesa kwa njaa mbwa wake?
Mswahili amekataa kwenda polisi kushtaki maana anadai hajui ataanzia wapi.
Tutafakari.
Tunakinzana mambo ya Irani na taifa teule la Mungu wa kweli. Lakin wewee jamaa ni intelligent sana Busara na hekima kwa kusoma tu comment zakonakufananishaga na RRONDOMzungu kaamua kuyaondoa Meno ya mswahili yaliyokua yakitafuna nyama!
Hiki kisa hata kama sio cha kweli ila kwanini mtu unakua sio muaminifu? kama ulikua na shida si ungemwambia huyo mzungu kuliko kumtesa Mbwa wake? uaminifu ni mtaji mkubwa sana katika maisha,tujaribu kua waaminifu na tuache tamaa zakijinga ambazo ni za muda mfupi tu.