Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,034
Kwanini usiweke fixed?Bond zilikuwepo tokea kitambo, zipo na huenda zikaendelea kuwepo sana.
Kama una pesa unaona hauwezi kuizungusha kwenye biashara, bora itumbukize huko. Utakula riba kila baada ya miezi sita.