Ismoo
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,036
- 1,456
UTAPATA WAPI 20Bn/=?!
ULIKUWA WAZIRI KWENYE WIZARA TAJIRI, HUKUPORA??!!
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
UTAPATA WAPI 20Bn/=?!
ULIKUWA WAZIRI KWENYE WIZARA TAJIRI, HUKUPORA??!!
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu,nmegundua watu wengi hawana uelewa na masuala ya Bonds,wao ni kuponda tu.Hata wakipata hasara hawawezi kushindwa kukulipa wewe kwa sababu wanao uwezo wa kuchukua fedha hata mahali pengine palipo na faida. Kwa mfano, mifuko ya jamii huwa haina hasara kwa sababu ni michango ya watu wanachangia kila mwezi. Bonds zina security guarantee ya 100% kuzidi hata mabenki. Benki huwa zina uwezekano wa kufilisika
Duh!....hayakumalizika tu haya.Jamaa bado yupo na mdau wake wa Bilioni 20 kiaina.
Mo vs Kigwa.
Huyu bado yuko na Mo tu?Huwa naskia tu mambo ya hati fungani huko serikalini kuwa kuna 15.6% unaweza ipata kwa kiwango ulichowekeza kila mwaka! Je, kuna ukweli wowote juu ya jambo hili maana hii serikali ya michongo isije ikawa ni mambo ya kalenda kama NSSF wakati mzigo mlikabidhiana kisheria.
View attachment 2052217View attachment 2052218
Hakuna ukweli wowote.Sawa mkuu ila nimeskia kuna habari za brokers sijui anataka 2% mara blaah blah gani zingine mara unaweza sijui ukanyimwa percent unayotaka wewe ukaambiwa nafasi zimejaa
Real Estate unaweza usipate hata nusu yake.Are you crazy yaani nitoe bilion moja Ili nipate milioni 156 kwa mwaka.
Si bora niiwekeze kwenye real estate
Inaweekana kweli ukawekeza na ukaingiza fedha zaidi lakini unapaswa utofautisheBilioni 1nikiamuwa kuanzisha kampuni ya usafirishaji ntabutua faida zaidi ya hiyo.
Biashara ya bilioni moja bila usimamizi inapukutika yote, kama huwezi kusimamia mwenyewe ni bora kuwekeza kwenye bond unapata faida kidogo lakini ni uhakika kwa asilimia 100.Bilioni 1nikiamuwa kuanzisha kampuni ya usafirishaji ntabutua faida zaidi ya hiyo.