Tulianzia sekondari, Chuo miaka mitatu na sasa tupo ndani ya ndoa na mtoto mmoja. Nafahamu pia jamaa zangu kama watatu hivi ambao walifanikiwa kuoana, japo uwezekano wa kuachana ni mkubwa zaidiMi natofautiana na wachangiaji wengine kwasababu sio couple zote zinakufa after college,zingine zinaleta ndoa.la muhimu ni true love tu