Kipenseli
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 800
- 1,050
Habari zenu wana JF? bila kupoteza tym ninaomba kuuliza nilichotegemea kuuliza.
Et ni kwa asilimia ngapi hivi vifaa vya kupima mimba na HIV huwa sahihi katika kutoa matokeo?
Kuna jamaa yangu nilikuwa nikibishana nae ananiambia kuwa aliwahi kupima mkojo kupitia kile kifaa cha kupimia mimba (Urinary Pregnancy Test) na kikatoa matokeo kuwa yeye ni mjamzito wakati yeye ni wakiume (ME).
Ubishi ulianza mara pale nilipotaka kununua kifaa cha kupima HIV ili nicheck afya yangu ndo akawa ameniaminisha hivyo je ni kweli wakuu??
Et ni kwa asilimia ngapi hivi vifaa vya kupima mimba na HIV huwa sahihi katika kutoa matokeo?
Kuna jamaa yangu nilikuwa nikibishana nae ananiambia kuwa aliwahi kupima mkojo kupitia kile kifaa cha kupimia mimba (Urinary Pregnancy Test) na kikatoa matokeo kuwa yeye ni mjamzito wakati yeye ni wakiume (ME).
Ubishi ulianza mara pale nilipotaka kununua kifaa cha kupima HIV ili nicheck afya yangu ndo akawa ameniaminisha hivyo je ni kweli wakuu??