Hapo kwenye "think thanks" ulitaka kusema nini labda?INAFIKIRISHA:
Kama rejects wa wasio na ubongo ndo husubiriwa kupeperusha bendera upande wa pili na kuwa think thanks.
Kuna uwezekano hao wa upande wa pili hata hivyo vichwa vyenyewe hawana!
ukitaka kuprove iangalie ile safu ya phd holder na maprofesor kabla na baada ya kuhamia ccm, mfano dr bashiru, profesor kabudi, magufuli, mwakyembe nk, halafu watafautishe na kibabaji
Binamu umeanza lini kuwa huu upande uliojaa sitiresi. 😎😎
#kupendasiasa.
Pole pole ndo amekuwa zero brain kabsa masikini mkaka wa watu nikikumbuka enzi ya mchakato wa katibaukitaka kuprove iangalie ile safu ya phd holder na maprofesor kabla na baada ya kuhamia ccm, mfano dr bashiru, profesor kabudi, magufuli, mwakyembe nk, halafu watafautishe na kibabaji