Hivi hili sakata nani ataibuka kidedea,tulianza kulisahau,kumbe ndo kwanza mchezo unaanza ,du!

Teh teh teh teh,

Katika huo ukaguzi CAG alishawahi kuitwa na hao wakaguzi kujibu hoja zinazomkabili?

Na kikatiba CAG anakaguliwa na nani?
 
Uzuri CAG hana elements au Hommon za kike! Alishafanya kazi na alimaliza....JPM lazima ajipambanue na watu km Spika hawa ndo wanamuangusha sana yani JPM anahangaika usiku na mchana kutwa kupambana na matumizi mabaya ya Fedha watu km Spika hawaoni hilo
 
Kama ukaguzi hakuna taasisi inayo kwepa watuletee ya ofisi ya Raisi maana ile migao inatisha.
 
Spika Ndugai amesema kuwa, "ningependa kuwajulisha juu ya taarifa ya ukaguzi wa ofisi ya CAG kwa mwaka fedha unaoshia Juni, 2018, hesabu za CAG zinapaswa kukaguliwa walau mara moja kwa mwaka, na Kamati ya PAC ndiyo inajukumu la kukagua ofisi hiyo, kazi imeshafanyika na imetuletea taarifa ya hesabu zilizokaguliwa za ofisi hiyo."
lakini kiutaratibu nimeshaipeleka PAC na wakishamaliza uchambuzi watawasilisha kwangu,

Kama PAC ndo yenye jukumu la ukaguzi kivipi aanze kupewa yeye na irudishwe tena PAC??? NAONA NYOTANYOTA
Kamati ya PAC wamekuwa wahasibu siku hizi, awamu hii ni mitihani mitupu.
 
Huyu Bwn Ndugai anapambana kulinda udhaifu na kudiscredity kazi nzuri ya CAG ili kudidimiza the transparent report ili bunge lisiifanyie kazi!!
Anajitahidi kumlinda mkubwa wa PAP mwenye kashifa asichukuliwe hatua, vipiiii???
 
Back
Top Bottom