dealkubwa
Senior Member
- Jul 1, 2020
- 144
- 584
Habar wakubwa nimefanya utafit wangu mdogo kwa kuzingatia past life experiance nimebain kwamba mabint wengi wamezalishwa mtoto mmoja bila kuolewa wengi wamepanga wengine wanaish kwao tena wako so happy.
Past experiance ya maisha yangu enzi za kina mzee abdup na mzee nyange yaan miaka ya 80-90 ilikua huwez kukuta unamzalisha bint wa watu kiulain utakabwa koo wewe uish nae ndii maana mzee abdul akachimba na kukana kimanga akuuuuuuuu. alipomdunga mimba bi sanda.
Zaman ukimpa bind mimba unakataa mimba hadi yeye mwenyewe unamkataa na kama hana mimba akikutania nina mimba ugomvi wake sio mchezo
Back to the line wana bodi wenzangu sasa hiv mabint wanafika mahar mpaka wanafos uwape mimba au wanakutegeshea makusud sasa tatizo mnawapa tabu waoaji maana kila bint kazalishwa mambo ya kukumbushiana na baba mtoto wako vijana weng hawapendi
Swali comon now ni una mtoto na jibu comon ni ndio ninae yaan zaman tulikia tunaulizia una bikra jibu lilikua ndio sasa tunaulizia mtoto itafika mahar tutaanza kuulizana una mabwana wangap
Past experiance ya maisha yangu enzi za kina mzee abdup na mzee nyange yaan miaka ya 80-90 ilikua huwez kukuta unamzalisha bint wa watu kiulain utakabwa koo wewe uish nae ndii maana mzee abdul akachimba na kukana kimanga akuuuuuuuu. alipomdunga mimba bi sanda.
Zaman ukimpa bind mimba unakataa mimba hadi yeye mwenyewe unamkataa na kama hana mimba akikutania nina mimba ugomvi wake sio mchezo
Back to the line wana bodi wenzangu sasa hiv mabint wanafika mahar mpaka wanafos uwape mimba au wanakutegeshea makusud sasa tatizo mnawapa tabu waoaji maana kila bint kazalishwa mambo ya kukumbushiana na baba mtoto wako vijana weng hawapendi
Swali comon now ni una mtoto na jibu comon ni ndio ninae yaan zaman tulikia tunaulizia una bikra jibu lilikua ndio sasa tunaulizia mtoto itafika mahar tutaanza kuulizana una mabwana wangap