Hivi hili basi la Arusha Express halina kidhibiti mwendo au ndo uwezo wa Scania.

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
2,071
2,010
Habari wakuu, mida ya saa12 asbh nipo zangu Kituoni pale Miyuji nasubiri basi la Machame niende zangu 'R Chuga' saa12 kama na dakika 20 hv Shabiby likapita, dakika km ishirini bdae Machame likapita nikapanda nikaanza safari! Tumekwenda huko katikati ya safari kabla ya kufika wilaya ya chemba naona mshine(arusha express ) inatuovateki, wkt huo Machame limeshafikia spidi ya mwisho mpk kale ka mlio ka wiu wiu wiu wiu wiu!! ka kidhibiti mwendo kakawa kanalia wkt huo arusha express Scania Marcopolo la enzi hizo namba A linaovateki Yutong namba D, nikasema poa!! Tukatembea kufika mbele tukakuta limemishwa check point ya trafiki na sisi pia tukasimamishwa, baadae sisi tukawa wakwanza kuondoka pale, dereva wetu kapiga kiatu wee mpk kale ka alarm kakawa kanalia tena mara paaap! Arusha express hili hapa tena ubavuni likatuovateki tena!! Sasa hapa ndo najiuliza hizi ovateki za scania(ars xpress) ni uwezo wa gari au kuna kitu nyuma ya pazia?! Mimi ninachojua mabasi yote ya safari ndefu yamedhibitiwa yatembee max 80km/hr kwa hyo mwenzako akikutangulia akiwa ktk hyo max spidi huwezi kumuovateki, hii imekaaje wadau km kuna mwenye wazo la tofauti!!
 
Habari wakuu, mida ya saa12 asbh nipo zangu Kituoni pale Miyuji nasubiri basi la Machame niende zangu 'R Chuga' saa12 kama na dakika 20 hv Shabiby likapita, dakika km ishirini bdae Machame likapita nikapanda nikaanza safari! Tumekwenda huko katikati ya safari kabla ya kufika wilaya ya chemba naona mshine(arusha express ) inatuovateki, wkt huo Machame limeshafikia spidi ya mwisho mpk kale ka mlio ka wiu wiu wiu wiu wiu!! ka kidhibiti mwendo kakawa kanalia wkt huo arusha express Scania Marcopolo la enzi hizo namba A linaovateki Yutong namba D, nikasema poa!! Tukatembea kufika mbele tukakuta limemishwa check point ya trafiki na sisi pia tukasimamishwa, baadae sisi tukawa wakwanza kuondoka pale, dereva wetu kapiga kiatu wee mpk kale ka alarm kakawa kanalia tena mara paaap! Arusha express hili hapa tena ubavuni likatuovateki tena!! Sasa hapa ndo najiuliza hizi ovateki za scania(ars xpress) ni uwezo wa gari au kuna kitu nyuma ya pazia?! Mimi ninachojua mabasi yote ya safari ndefu yamedhibitiwa yatembee max 80km/hr kwa hyo mwenzako akikutangulia akiwa ktk hyo max spidi huwezi kumuovateki, hii imekaaje wadau km kuna mwenye wazo la tofauti!!
Mkuu hapo kwenye red,hizo ni namba au herufi?
 
kuna siku nilipanda hio arusha xpress ambazo zinakwenda hadi mbeya nikashuka iringa saa kumi cku nyingine napanda kimotco zinazoishia iringa nikafika saa moja kasoro kadhaa so nahisi hata umbali unahusika
 
Habari wakuu, mida ya saa12 asbh nipo zangu Kituoni pale Miyuji nasubiri basi la Machame niende zangu 'R Chuga' saa12 kama na dakika 20 hv Shabiby likapita, dakika km ishirini bdae Machame likapita nikapanda nikaanza safari! Tumekwenda huko katikati ya safari kabla ya kufika wilaya ya chemba naona mshine(arusha express ) inatuovateki, wkt huo Machame limeshafikia spidi ya mwisho mpk kale ka mlio ka wiu wiu wiu wiu wiu!! ka kidhibiti mwendo kakawa kanalia wkt huo arusha express Scania Marcopolo la enzi hizo namba A linaovateki Yutong namba D, nikasema poa!! Tukatembea kufika mbele tukakuta limemishwa check point ya trafiki na sisi pia tukasimamishwa, baadae sisi tukawa wakwanza kuondoka pale, dereva wetu kapiga kiatu wee mpk kale ka alarm kakawa kanalia tena mara paaap! Arusha express hili hapa tena ubavuni likatuovateki tena!! Sasa hapa ndo najiuliza hizi ovateki za scania(ars xpress) ni uwezo wa gari au kuna kitu nyuma ya pazia?! Mimi ninachojua mabasi yote ya safari ndefu yamedhibitiwa yatembee max 80km/hr kwa hyo mwenzako akikutangulia akiwa ktk hyo max spidi huwezi kumuovateki, hii imekaaje wadau km kuna mwenye wazo la tofauti!!
Maelezo yako yanaanza kunikumbusha miezi 3 iliyopita. Nilipanda Bus la Majinja pale Ubungo kuelekea Mbeya, muda wa kuondoka ulipaswa Uwe saa 12 asubuhi but tulichelewa Dakika 25 kwa sababu walimuita fundi aje afunge hizo ving'amuzi vyao vya spidi. Mabasi mengi yaliondoka saa 12 kamili. Kumbuka Majinja la Kyela na Sumbawanga yote ni scania namba A. Huko njiani ilikuwa hatari tupu mpaka tunafika mzumbe pale kwenye nyama za wamasai bus letu ndio lilikuwa la kwanza wakiongozana na Majinja la Sumbawanga na Golden Deer. Halafu dereva analalamika anasema king'amuzi hakisomi lolote coz spidi alikuwa anapitiliza.
Acha scania iitwe scania. Bus namba A zinasumbua mpaka Leo hata namba D za yutong hakuna Kitu
 
Mkuu si hiyo TU Sasa Kuna Arusha exp inayotoka Mpwapwa saa12 asb ndugu kwa mwendo ule HAKUNA gari linalo over take likichomoka hulikamati hata Kama litapakia kila kituo na gari nyibgine zisisimame kupakia.NIMELIPANDA LEO ASB SIFIKIRII KUPANDA TENA GARI LILE
 
2015 nilipanda kwenda mbeya, lkn binafsi nayaona yako poa lbl kwa kipindi hichi ndo wameanza hayo mambo ila hiyo ishu ipo kwenye mabasi mengi tuu
 
Nimepanda mabas mengi sana hapa bongo lakini mnyama KISBO SAFARI shikamoo
Kisbo kama huna haraka sana usipande. Na wenyewe hawakubembelezi lile gari tunapanda wenye roho ngumu ni kawaida sana kuwahi na kusubiria muda ilo swala ndo linachosha sana
 
Mkuu si hiyo TU Sasa Kuna Arusha exp inayotoka Mpwapwa saa12 asb ndugu kwa mwendo ule HAKUNA gari linalo over take likichomoka hulikamati hata Kama litapakia kila kituo na gari nyibgine zisisimame kupakia.NIMELIPANDA LEO ASB SIFIKIRII KUPANDA TENA GARI LILE
hahahaha ulikoma mkuuu 🤣🤣🤣
 
The power of msweden mchina arudi tu darasani......nachopendea michina body zao tu ni nzuri mno kama ile yutong f12+
Habari wakuu, mida ya saa12 asbh nipo zangu Kituoni pale Miyuji nasubiri basi la Machame niende zangu 'R Chuga' saa12 kama na dakika 20 hv Shabiby likapita, dakika km ishirini bdae Machame likapita nikapanda nikaanza safari! Tumekwenda huko katikati ya safari kabla ya kufika wilaya ya chemba naona mshine(arusha express ) inatuovateki, wkt huo Machame limeshafikia spidi ya mwisho mpk kale ka mlio ka wiu wiu wiu wiu wiu!! ka kidhibiti mwendo kakawa kanalia wkt huo arusha express Scania Marcopolo la enzi hizo namba A linaovateki Yutong namba D, nikasema poa!! Tukatembea kufika mbele tukakuta limemishwa check point ya trafiki na sisi pia tukasimamishwa, baadae sisi tukawa wakwanza kuondoka pale, dereva wetu kapiga kiatu wee mpk kale ka alarm kakawa kanalia tena mara paaap! Arusha express hili hapa tena ubavuni likatuovateki tena!! Sasa hapa ndo najiuliza hizi ovateki za scania(ars xpress) ni uwezo wa gari au kuna kitu nyuma ya pazia?! Mimi ninachojua mabasi yote ya safari ndefu yamedhibitiwa yatembee max 80km/hr kwa hyo mwenzako akikutangulia akiwa ktk hyo max spidi huwezi kumuovateki, hii imekaaje wadau km kuna mwenye wazo la tofauti!!
 
Arusha express chuga to mbeya nambar nyingine zile aloo, seem ilioniacha hoi 2016 jion jion gar baada ya kupita mtera gari ikaharibika tumekaa kama dakika 45 gari nyingi tu zikatupita, ila lilivopona dereva amekanyaga mafuta haswa, kuja kufika mafinga tukaanza kuyaovatake magar yote yaliokua yametupita, mbeya mapema tu saa mbili na nusu usiku tushaingia mbeya stendi
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom