Mm huwa nahisi tulikosea sana kama nchi kwenye suala elimu ya kiingereza cha kuongea kwa ufasaha katika mitaala yetu ya elimu....cha kusikit uisha zaidi kwenye ajira mara nyingi anayejua kuongea kingereza vizuri...anapewa kipaumbele kwenye mambo mengi ikiwkuajiriwa au kupanda
cheo. ..hasa kwe n ye makampuni binafsi...yaani shule chekechea na msingi unasoma kwa kwa kutumia kishwahili ghafla sekondali unakutana na kingereza. Wengi wanaoimudu vizuri lugha hii walianza kuisoma chekechea..
cheo. ..hasa kwe n ye makampuni binafsi...yaani shule chekechea na msingi unasoma kwa kwa kutumia kishwahili ghafla sekondali unakutana na kingereza. Wengi wanaoimudu vizuri lugha hii walianza kuisoma chekechea..